Friday, 5 April 2019

💦💦💦💦❤💦💦💦❤💦❤❤

TABIA AU SIFA AU VIASHIRIA VYA KIJANA ALIYEMPENDA BINTI LAKINI ANAOGOPA KUMWAMBIA.😄😄😄😄

Zifuatazo ni baadhi tu ya viashiria:

1. Anakuwa na wasiwasi mwingi anapokuwa na wewe. 😁😁😁 Anakosa utulivu.

2. Anapenda kuuwaulizia rafiki zako kukuhusu. 👍👍👍

3. Anakuwa na tabia isiyoeleweka akikuona. 😁😁 Haeleweki kabisa kama kuku anayetaga.

4. Anapenda kutabasamu na wewe huku akiangalia kando pale macho yakutanapo.😳😳😳😳😄😄😄😌😌😌

5. Anakuwa mkimya pale unapokuwa naye.😌😌😌😌😀😀

6. Anabadirisha mwonekano wake kila kukicha. Mfano nywele_ mnyoo; nguo; n.k

7. Anagugumiza kuongea akiwa na wewe😁😁😁😁🤣🤣🤣
Anaongea kama anakupenda cha nyama mdomoni 😁😁

8. Anakujali zaidi ya wengine.🙂😄
Yupo tayari kutembea kwa miguu wewe upande gari.😁😁😁


9.Mtoaji mzuri wa zawadi na vijizawadizawadi mbali mbali.😀😅😅😅😅

10.Huongea kwa mafumbo yaani mambo yasiyokuwa wazi sana.😁😁😁

💦 Nyingine nyingi zinazofanana na hizo.😆😆


By pastor Songwa Kazi
0719968160.

1 comment:

  1. Ushuhuda Wangu wa Dhati 💖

    Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba ndefu, nilivunjika kabisa. Alinifungia kwenye mitandao yote ya kijamii, akasafiri mbali, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Nilikaribia kukata tamaa juu yetu, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitenda.

    Siku moja, bosi wangu kazini aliona jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dk. Dk. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu atanirudia ndani ya siku tatu. Kusema kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao mkubwa zaidi, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa ni yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.

    Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa wenye nguvu na mzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akinipenda na kunijali sana mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa baada ya miezi miwili tu! ❤️

    Shukrani zote kwa Dk. Dawn, ambaye kwa kweli aliwezesha jambo lisilowezekana. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:

    Masuala ya mahusiano au ndoa

    Ugonjwa au magonjwa

    Ugumba au matatizo ya bahati nasibu

    Kesi za mahakama au kurejesha mali


    Dk. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurejesha furaha katika maisha ya watu.

    Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete