💦💦💦💦❤💦💦💦❤💦❤❤
TABIA AU SIFA AU VIASHIRIA VYA KIJANA ALIYEMPENDA BINTI LAKINI ANAOGOPA KUMWAMBIA.😄😄😄😄
Zifuatazo ni baadhi tu ya viashiria:
1. Anakuwa na wasiwasi mwingi anapokuwa na wewe. 😁😁😁 Anakosa utulivu.
2. Anapenda kuuwaulizia rafiki zako kukuhusu. 👍👍👍
3. Anakuwa na tabia isiyoeleweka akikuona. 😁😁 Haeleweki kabisa kama kuku anayetaga.
4. Anapenda kutabasamu na wewe huku akiangalia kando pale macho yakutanapo.😳😳😳😳😄😄😄😌😌😌
5. Anakuwa mkimya pale unapokuwa naye.😌😌😌😌😀😀
6. Anabadirisha mwonekano wake kila kukicha. Mfano nywele_ mnyoo; nguo; n.k
7. Anagugumiza kuongea akiwa na wewe😁😁😁😁🤣🤣🤣
Anaongea kama anakupenda cha nyama mdomoni 😁😁
8. Anakujali zaidi ya wengine.🙂😄
Yupo tayari kutembea kwa miguu wewe upande gari.😁😁😁
9.Mtoaji mzuri wa zawadi na vijizawadizawadi mbali mbali.😀😅😅😅😅
10.Huongea kwa mafumbo yaani mambo yasiyokuwa wazi sana.😁😁😁
💦 Nyingine nyingi zinazofanana na hizo.😆😆
By pastor Songwa Kazi
0719968160.
No comments:
Post a Comment