♻ MADA: MADHARA YA ZINAA AU NGONO KABLA YA NDOA NA JINSI YA KUFUNGULIWA KUTOKA KWENYE VIFUNGO HIVYO.♻
✍ Nalileta somo hili kwenu kwa sababu ni nawapenda pili sitaki hata mmoja wenu aangamizwe kwa kukosa maarifa au elimu hii ya Mahusiano .
❇UTANGULIZI:
Hebu tuanagalie kwa ufupi nini hasa maana ya zinaa?
✍Zinaa: Nitamaa mbaya ya kufanya tendo la ndoa.
๐คTendo la ndoa siyo dhambi pale likifanywa na wana ndoa kwani hapo ndipo haswaaa lilipo kusudiwa kufanyika na si penginepo. Tendoa la ndoa kutakuwa dhambi nikifanyika nje ya ndoa.
๐ Usisahau dhambi ni kazi ,na kila afanyaye kazi lazima alipwe mshahara wake mwisho wa kazi hiyo.
๐คMshahara wa dhambi ni mauti. Warumi 6:23.
๐๐ปMiongoni mwa dhambi za uchafu na zinazo mkasirisha Mungu zilizo beba uovu na nguvu ya mapatilizo-yaani kisasi na malipizi ni dhambi ya uchawi, uuaji na zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀
✍Wapo wengine husema kuwa tufanye dhambi ya zinaa kisha tutatubu tu. Hebu kabla ya kutenda dhambi au kuwaza toba , angalia kwanza gharama ya dhambi kufanyika; Biblia inasemaje kuhusu dhambi hiyo na toba yake.
✍Upo ushahidi wa kibiblia na kibinadamu juu ya nguvu ya dhambi ya zinaa , hasara zake na matokeo yake mabaya katika maisha ya mtu.
๐ญ๐ญ
๐ธUshuhuda wa tukio la Jana 31-10-2017 tu hapo mitaa ya kizuiani, Dar; Kijana mmoja Malaya alikutwa amekufa ndani ya chumba alichokuwa anafanya zinaa na kahaba mmoja.๐ญ๐ญ๐ญ
Hii inasikitisha sana. Nakuonea shauku sana mwanangu unaye pokea hekima hizi amabazo wengi wamezikosa kabisa.
Lakini nakuhurumia na kukusikitikia Kama utayapuuza maarifa na maonyo haya maana yatakuwa kama mshitaki wako pale utakapo yaasi na kuyaacha.๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ
✍Nguvu ya dhambi na hasara zake katika maisha ya kiroho na kimwili ndiyo ilisababisha hata makanisa na wachungaji kuweka sheria na utaratibu mkali wa kutoka adhabu ya kusimamishwa huduma, kutengwa kwa kipindi Fulani au kufukuzwa kabisa kwenye ushirika kwa watu wanaoingia kwenye shimo la dhambi hii ya zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ
✍Hivyo sasa nitakuletea madhara ya zinaa yasiyopungua kumi na moja ( 11 ) katika mfululizo wa somo hili lakini pia nitakuelekeza jinsi yakutoka kwenye kifungo hicho kwa aliye naswa nacho na jinsi ya kuepuka ili usinase............
Ubarikiwe Sana kwa utakaye fuatilia somo hili.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
Sasa❤❤❤ Shalom wana wa Mungu, hebu Leo tuendelee na mfululizo wa somo letu la madhara ya zinaa......
1⃣ ZINAA INAUA UTU WA NDANI ( NAFSI).
✍Roho ya MTU itastahimili udhaifu wake, Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?
♻Mithali 18:14.
✍ Zinaa inajeruhi utu wa ndani -yaani nafsi ambayo kimsingi nafsi ni wewe.
❇Somo la nafsi ni pana sana , kwani vifungo vya watu wengi vipo kwenye nafsi.
✍Kwa kifupi MTU ni roho mwenye nafsi inayoishi kwenye nyumba ya udongo ambayo ni mwili. Hivyo sasa, ROHO+ NAFSI+ MWILI= MTU.
๐คMtu hafi kwa sababu yeye ni roho kamili.
✍ROHO ndiyo ile pumzi ya Mungu na kimsingi ndiyo inayookoka.
✍NAFSI ndiyo huyo mtu mwenye , kwenye nafsi kuna: Akili, hisia, nia, utashi, fikra, ufahamu na dhana.
๐๐ shetani akifanikiwa kuifunga nafsi yako amekumaliza , kwani mafanikio na ustawi hapa duniani hutegemea Uhuru tulionao kwenye nafsi. Nafsi ndiyo uwanja wa vita.
๐ค Nafsi ndiyo kiwanda cha uzalishaji na uchumba cha kufanyia maamuzi. ( functional falcuty )Sasa itategemea mzalishaji ni nani ? Mungu au shetani?!! Na bidhaa hizo huuletwa kwenye Mwili ili ziwafikie walengwa.
Kazi ya MTU mwili ni kuwasiliana na ulimwengu unaoonekana.
Kumbuka Mungu ni Roho kadhalika shetani naye ni roho hivyo wote wanahitaji mwili wako wautumie ili kufikisha bidhaa zao kwa mwanadamu- mlaji.
๐คNdiyo maana utaona kila kukicha Vijana wengi wanaharibikiwa kwa zinaa, ulevi , n.k kwa sababu shetani anahasira kubwa. Na silaha kubwa anayoitumia shetani kuwamaiza watu ni kuwapandikizia tamaa mbaya ya zinaa.
✍ Mtume Paulo ansema , IKIMBIENI ZINAA. 1Kor.6:18
Cha ajabu nikuwa ; mbali na kusamehewa dhambi zote zinaweza kufutika isipokuwa ya zinaa.
✍Mithali 6:32-33
☘๐ท☘☘๐ท☘๐ท
2⃣. ZINAA HUMVUNJIA MTU HESHIMA.
✍Huu ni ukweli usio pingika kuwa zinaa himwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii husika, hivyo humfanya kudharauliwa na kila mtu........biblia inasema ; atapata jeraha za kuvunjiwa heshima ; wala fedheha yake haitafutika. Mithali 6:32-33.
❇ KUMBUKA: Hakuna mtu anayetaka au anaye penda kudharauliwa ila unayo nafasi ya kuamua watu wakuheshimu au watu wakudharau.
๐คZinaa ni mchezo mchafu ambao humwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii, na hii huwapelekea sasa watu hao kutawaliwa na roho ya kukataliwa na mwisho wake huwa mbaya hasa wasiyo pata msaada wa haraka wa kiroho kwa sababu kimsingi hili ni tatizo la kiroho.
๐คWatu waliotawaliwa na roho ya zinaa wapo tayari kufanya zinaa popote na yeyote kwani dhamiri zao zimetiwa ganzi, haziwezi kupambanua jema au baya.
❇USHUHUDA:
✍Nikiwa katika moja ya makongamano na semina za Vijana nilikutana nakesi ya binti mmoja aliyenifuata kwa ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo cha tamaa ya zinaa. Binafsi niliupenda sana moyo wake wa uwazi ambapo vijana wengi wanalukutika kutokana na kifungo cha SIRI. Hakuna kifungo kibaya kama kuwa na siri ya uovu- funguka usaidike na kuwekwa huru.
✍Binti huyu alidai kuwa alikuwa na Mahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja wa kiisilamu pamoja na kuachana huwa anatokewa na hisia Kali za zinaa Mara tu anapo mkumbuka huyo jamaa , anachokifanya anajifungia ndani Kama masaa matatu hadi sita anajichua au kujisaga sehemu za siri kwa kutumia uume bandia ( sex toy) aliyenunua dukani. Hii habari iliniumiza kusikia na binti huyu kuokoka lakini haya ndiyo yanayo mkuta. Na mwingine wa namba hiyo yeye hutumia godoro kujisugua kisha anapoteza fahamu kwa takribani nusu saa. Lakini baada ya kuomba nao sasa wapo huru kabisa kwa jina la YESU.
✍WITO:
Kadri tuendeleavyo na somo usisite kuniuliza swali juu ya changamoto yako ili tuone unatokaje hapo.
✍Ili uwekwe huru swala la uwazi na ukweli ndiyo ufunuo wakukutoa kwenye kifungo chochote kile. Nani nikuhakikishie mwisho wa somo hili wote watakao kuwa wamemanisha kutoka kwenye changamoto ya tamaa ya zinaa wote mtafunguliwa kwa jina la Yesu.
☘๐น☘๐น☘๐น☘๐น
3⃣. ZINAA INAFEDHEHESHA:
✍ huu ni ukweli kabisa kuwa mtu afanayaye zinaa hujidharirisha na kupata aibu au fedheha mbele ya jamii inayomzunguka .
❇Mithali 6:32-33
Inasema;
... wala fedheha yake haitafutika.๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Hii inogopesha,kuwa fedheha yake huwa haifutiki mbali na kusamehewa ๐ค๐ค๐ค๐ค.
USHAURI:
✍Jiheshimu wala usijirahisi kwa mvulana au binti ili tu akuoe au umuoe na Mbingu nazo zitakuheshimisha kwani alWewe ni wathamani sana machoni pa Mungu.
☘๐น☘๐น☘๐น
4⃣. ZINAA INAFUTA MAONO NA NDOTO ZA MTU.
✍mpendwa mwanangu ,zinaa humfanya mtu apoteze mwelekeo - vision katika maisha yake na kushindwa kutimiza ndoto - yaani malengo katika maisha yake.
Hebu kumbuka maisha ya Yusufu,
✍Mwanzo 39:7
Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia , lala nami.
❇ Yusufu alikataa kulala na mke wa Farao boss wake Leo hii tungesema mke wa raisi, ambalo kwa vijana wengi Leo wangesema kuota dodo chini ya mparachichi. Yusufu akasema, Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi , wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe umkewe. Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkose Mungu? Mwanzo 39:9
๐ค hili ni darasa na shule tunaipata kwa Yusufu , kuwa alikuwa mtu mwenye maono na ndoto. Hivyo hakuwa tayari kujichafua na kumkosea Mungu wake kwa zinaa na mke wa boss wake.
❇Ukijua umebeba nini kwa ajili ya Mungu utajitunza.
๐๐ปKuna kundi kubwa la vijana Leo wanalia vilio visivyo na machozi kisa walitawaliwa na roho ya zinaa, Leo wamepoteza mwelekeo kwani WAPO NJIA PANDA.
๐น☘๐น☘☘๐น๐น
5⃣. ZINAA HUMWONDELEA MTU UJASIRI WA KUKEMEA DHAMBI.
✍Mtu afanyapo zinaa kukosa kabisa ule ujasiri mbele za Mungu na mbele za mwanadamu.
๐คHii ni kwa sababu moyo wake
umejaa hukumu dhidi ya ile dhambi.
❇1Yohana 3:21-22
✍Mapenzi ,mioyo yetu isipotuhukumu ,tuna ujasiri kwa Mungu; na lolote tuombalo ,twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kutenda yampendezayo machoni pake.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
6⃣. ZINAA HULETA MUUNGANIKO WA NAFSI ( SOUL TIE ).
Mwanangu tambua kuwa tendo la zinaa ni AGANO; hivyo huwaunganisha nafsi- yaani akili, nia, hisia, utashi, fikra, dhana na ufahamu ) za watu wawili na kuwa mwili mmoja. Hiki huwa ni kifungo kibaya sana na kimetesa na kinaendelea kuwatesa watu wengi sana; na wengi wao hawajui cha kufanya kwani watumia akili na nguvu zao kkujinasua imeshindikana kabisa.
♻habari njema kwako inawezekana kabisa kufunguliwa kutoka kwenye kifungo hicho cha muunganiko wa nafsi.๐ธ
๐คNdiyo maana sasa unaweza kukuta mtu ameokoka lakini kabla ya kuokoka alikuwa na mpenzi wake waliokuwa wakifanya naye zinaa, utashangaa wengine hushindwa kuachana na huwa wana endelea na maisha yao ya uzinifu na kanisani anaingia. Hii huwa ni kwa sababu hajafunguliwa kifungo cha muunganiko wa nafsi.
❇KUMBUKA; agano siyo mkataba. Agano huwa halivunjwi , gharama ya kuvunja agano ni kifo. Ndiyo maana sasa Yesu anajiita yeye ni mjumbe wa agano lililo bora.
Na agano linasomba vizazi na vizazi.
1Kor. 6:16
✍Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, wale wawili watakuwa mwili mmoja.
๐คUSHAURI:
Usiendelee na Mahusiano mapya kabla ya kuvunja maagano ya muunganiko wa nafsi, bila kufanya hiyo utakuja kuyatesa maisha yako ya Mahusiano na hata kama utaolewa au kuoa itatesa ndoa yako.
๐ธKwa maelezo , ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo hicho tuwasiliane.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
7⃣ ZINAA HUKIINGIZA KIZAZI CHAKO KWENYE VIFUNGO.
๐คLeo hii kuna watu wengi wanapata mateso amalbayo kimsingi wao siyo wahusika kabisa kwa maana ya kusababisha Bali wamesababishiwa na kujikuta wako kwenye mazingira magumu na hawajui wanayokaje.
๐ธHii yote ni kwa sababu ya misingi iliyowabeba ilikuwa mibovu .
✍Maombolezo 5:7 Baba zetu walitenda dhambi hata hawako, Na sisi tumeyachukua maovu yako.
✍ Zaburi 61:5; Saudi anasema, Tazama , mimi naliumbwa katika hali ya uovu; mama yangu alinichukua mimba hatiyani.
♻Utakuja kugundua anguko la Ufalme Daudi na mke wa Uria 2Sam.11:1-5; 12:9-14 ili kuwa ni sababu ya misingi mibovu ya bibi yake RAHABU yule kahaba, Mathayo 1:1-17
๐ค Daudi alitafuta kujua shida ni nini ndipo anakuja kutambua kuwa misingi yake iliyo mbeba au mlango uliompitisha ni mbovu. Zaburi 51 yote.
NJIA pekee ya kutoka kwenye misingi mibovu ni toba ya kweli na maombi ya utakaso dhidi ya mambo ya siri. Zaburi 19:12
๐๐ป Hii ina umiza sana kuteseka kwa makosa na dhambi na maovu ya watu wengine.
☘ Ukitubu Mungu atakusamehe ila atakisubiri kizazi chako kwa ajili ya malipizi. Utashangaa watoto wanapamabana nahali Fulani bila kujua ni msingi waliupokea kwa wazazi. Bila kupata maarifa haya unakuta MTU unateseka bila kupata msaada.
♻ Lengo kuu la ujumbe huu ili kile kikicho muua baba / mama yako kisikuuwe na wewe.
๐น☘๐น☘
๐น
8⃣ ZINAA HUAMBUKIZA MAGONJWA.
✍Leo hii wapo watu wengi wanalia maana afya zao ni mgogoro kwa sababu ya maambikizi ya magonjwa yatokanayo na kufanya zinaa na mtu mwenye maambukizi .
๐๐ป mfano wa magonjwa haya ni UKIMWI, kaswende, Gonorea, fangasi , n.k
❇ Matokeo ya ya maambuzi haya klyatakanayo na zinaa ni kuua na kuzima ndoto za MTU kabisa.
๐ค Niukweli usiyokanushika kuwa afya ikiharibika hata kama ilikuwa na malengo mazuri kiasi gani utakwama tu kwani utatumia muda mwingi kushughulikia afya yako.
๐๐ป Kumbuka nyuma ya roho ya magonjwa kuna roho ya umasikini na ufukara pamoja na mufirisi.๐ค๐ค
๐คUshauri:
๐ทUsifanye zinaa kwani haina faida yoyote zaidi ya hasara nyingi zisizo na idadi.
๐ทhakuna taji kwa wafanya zinaa zaidi ya adhabu na ghadhabu ya Mungu.
❤☘๐น๐น☘๐น❤
9⃣ ZINAA NI MLANGO WA MAPEPO KWA MTU.
✍Kwa kuwa zinaa ni tendo linalounganisha watu wawili kiakili, kihisia, kiroho na kimwili; basi upo uwezekano mkubwa sana wa mmoja aliye na roho chafu kumwingia mwingine kama vile tu mtu anavyo weza kupata maambukizi mengine ya magonjwa, hata mapepo vivyo hivyo.
☘ Ushauri:
๐Nikuombe sana mwana wa Mungu, ujitunze , umtii Mungu na ujae
moyoni ili usije ukampa nafasi ibilisi.
☘ Jihadhari sana na tamaa ya zinaa ilinusije ukawa Makao ya mapepo na majini na kupelekea kuharibu hatima yako.
๐คKupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.
๐ทAmua Leo chukua hatua za makusudi kuikimbia zinaa.
๐น❤๐น❤☘๐ท๐น☘❤
๐ ZINAA INAUA KIROHO NA KIMWLI.
✍Huu ni ukweli usiyo pingika kuwa zinaa inaweza kusababisha mauti ya kiroho na mwili.
๐คUpo ushahidi wa kibiblia na wa ujuzi katika jamii zetu.
Tazama Mwanzo 18 na 19 kwa habari ya sodoma na Gomora ziliteketezwa kwa moto .
✍kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.๐คท♂๐คท♂๐คท♂
✍ikimbie kabisa zinaa wala isitajwe kwako.
๐น❤๐น❤๐น❤☘๐น❤☘๐น
๐นHaleluya wana wa Mungu mpendwao sana. Leo tuangalie dhara la 11 mwisho katika somo letu la madhara ya kufanya zinaa.
1⃣1⃣ ZINAA INAWEZA KUKUFANYA USIURITHI UFALME WA MUNGU.
๐ธWagalatia 5:19-21
✍ Zinaa itakupelekea kufutwa kwenye ufalme wa Mungu; jambo hili linatisha sana. ๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Ni heri ukose vyote hapa duniani kuliko kuvipita vyote kisha ukaukosa ufalme wa Mungu ambao ndiyo kusudi la sisi kuumbwa na Yesu kuja kufa msalabani kisha kufufuka .
๐บWito kwa wana wa Mungu;
✍Jitunze sana na usafishe kituo chako kiwe kitakatifu ili Mungu asije akaona kitu kisicho safi akageuka na kukuacha.
K/Torati 23:14.
✍ Ni bora kuachwa na mchumba wako kuliko kuachwa na Mungu.
๐ธNikutakie Ushindi mkuu katika Eneo lako la Mahusiano na NDOA.
❤By pastor Songwa Kazi.
☘0757-567899
☘whasap:0719-968160
*** Mwisho***
๐น๐น๐น
๐น๐น๐น♻ MADA: MADHARA YA ZINAA AU NGONO KABLA YA NDOA NA JINSI YA KUFUNGULIWA KUTOKA KWENYE VIFUNGO HIVYO.♻
✍ Nalileta somo hili kwenu kwa sababu ni nawapenda pili sitaki hata mmoja wenu aangamizwe kwa kukosa maarifa au elimu hii ya Mahusiano .
❇UTANGULIZI:
Hebu tuanagalie kwa ufupi nini hasa maana ya zinaa?
✍Zinaa: Nitamaa mbaya ya kufanya tendo la ndoa.
๐คTendo la ndoa siyo dhambi pale likifanywa na wana ndoa kwani hapo ndipo haswaaa lilipo kusudiwa kufanyika na si penginepo. Tendoa la ndoa kutakuwa dhambi nikifanyika nje ya ndoa.
๐ Usisahau dhambi ni kazi ,na kila afanyaye kazi lazima alipwe mshahara wake mwisho wa kazi hiyo.
๐คMshahara wa dhambi ni mauti. Warumi 6:23.
๐๐ปMiongoni mwa dhambi za uchafu na zinazo mkasirisha Mungu zilizo beba uovu na nguvu ya mapatilizo-yaani kisasi na malipizi ni dhambi ya uchawi, uuaji na zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀
✍Wapo wengine husema kuwa tufanye dhambi ya zinaa kisha tutatubu tu. Hebu kabla ya kutenda dhambi au kuwaza toba , angalia kwanza gharama ya dhambi kufanyika; Biblia inasemaje kuhusu dhambi hiyo na toba yake.
✍Upo ushahidi wa kibiblia na kibinadamu juu ya nguvu ya dhambi ya zinaa , hasara zake na matokeo yake mabaya katika maisha ya mtu.
๐ญ๐ญ
๐ธUshuhuda wa tukio la Jana 31-10-2017 tu hapo mitaa ya kizuiani, Dar; Kijana mmoja Malaya alikutwa amekufa ndani ya chumba alichokuwa anafanya zinaa na kahaba mmoja.๐ญ๐ญ๐ญ
Hii inasikitisha sana. Nakuonea shauku sana mwanangu unaye pokea hekima hizi amabazo wengi wamezikosa kabisa.
Lakini nakuhurumia na kukusikitikia Kama utayapuuza maarifa na maonyo haya maana yatakuwa kama mshitaki wako pale utakapo yaasi na kuyaacha.๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ
✍Nguvu ya dhambi na hasara zake katika maisha ya kiroho na kimwili ndiyo ilisababisha hata makanisa na wachungaji kuweka sheria na utaratibu mkali wa kutoka adhabu ya kusimamishwa huduma, kutengwa kwa kipindi Fulani au kufukuzwa kabisa kwenye ushirika kwa watu wanaoingia kwenye shimo la dhambi hii ya zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ
✍Hivyo sasa nitakuletea madhara ya zinaa yasiyopungua kumi na moja ( 11 ) katika mfululizo wa somo hili lakini pia nitakuelekeza jinsi yakutoka kwenye kifungo hicho kwa aliye naswa nacho na jinsi ya kuepuka ili usinase............
Ubarikiwe Sana kwa utakaye fuatilia somo hili.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
Sasa❤❤❤ Shalom wana wa Mungu, hebu Leo tuendelee na mfululizo wa somo letu la madhara ya zinaa......
1⃣ ZINAA INAUA UTU WA NDANI ( NAFSI).
✍Roho ya MTU itastahimili udhaifu wake, Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?
♻Mithali 18:14.
✍ Zinaa inajeruhi utu wa ndani -yaani nafsi ambayo kimsingi nafsi ni wewe.
❇Somo la nafsi ni pana sana , kwani vifungo vya watu wengi vipo kwenye nafsi.
✍Kwa kifupi MTU ni roho mwenye nafsi inayoishi kwenye nyumba ya udongo ambayo ni mwili. Hivyo sasa, ROHO+ NAFSI+ MWILI= MTU.
๐คMtu hafi kwa sababu yeye ni roho kamili.
✍ROHO ndiyo ile pumzi ya Mungu na kimsingi ndiyo inayookoka.
✍NAFSI ndiyo huyo mtu mwenye , kwenye nafsi kuna: Akili, hisia, nia, utashi, fikra, ufahamu na dhana.
๐๐ shetani akifanikiwa kuifunga nafsi yako amekumaliza , kwani mafanikio na ustawi hapa duniani hutegemea Uhuru tulionao kwenye nafsi. Nafsi ndiyo uwanja wa vita.
๐ค Nafsi ndiyo kiwanda cha uzalishaji na uchumba cha kufanyia maamuzi. ( functional falcuty )Sasa itategemea mzalishaji ni nani ? Mungu au shetani?!! Na bidhaa hizo huuletwa kwenye Mwili ili ziwafikie walengwa.
Kazi ya MTU mwili ni kuwasiliana na ulimwengu unaoonekana.
Kumbuka Mungu ni Roho kadhalika shetani naye ni roho hivyo wote wanahitaji mwili wako wautumie ili kufikisha bidhaa zao kwa mwanadamu- mlaji.
๐คNdiyo maana utaona kila kukicha Vijana wengi wanaharibikiwa kwa zinaa, ulevi , n.k kwa sababu shetani anahasira kubwa. Na silaha kubwa anayoitumia shetani kuwamaiza watu ni kuwapandikizia tamaa mbaya ya zinaa.
✍ Mtume Paulo ansema , IKIMBIENI ZINAA. 1Kor.6:18
Cha ajabu nikuwa ; mbali na kusamehewa dhambi zote zinaweza kufutika isipokuwa ya zinaa.
✍Mithali 6:32-33
☘๐ท☘☘๐ท☘๐ท
2⃣. ZINAA HUMVUNJIA MTU HESHIMA.
✍Huu ni ukweli usio pingika kuwa zinaa himwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii husika, hivyo humfanya kudharauliwa na kila mtu........biblia inasema ; atapata jeraha za kuvunjiwa heshima ; wala fedheha yake haitafutika. Mithali 6:32-33.
❇ KUMBUKA: Hakuna mtu anayetaka au anaye penda kudharauliwa ila unayo nafasi ya kuamua watu wakuheshimu au watu wakudharau.
๐คZinaa ni mchezo mchafu ambao humwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii, na hii huwapelekea sasa watu hao kutawaliwa na roho ya kukataliwa na mwisho wake huwa mbaya hasa wasiyo pata msaada wa haraka wa kiroho kwa sababu kimsingi hili ni tatizo la kiroho.
๐คWatu waliotawaliwa na roho ya zinaa wapo tayari kufanya zinaa popote na yeyote kwani dhamiri zao zimetiwa ganzi, haziwezi kupambanua jema au baya.
❇USHUHUDA:
✍Nikiwa katika moja ya makongamano na semina za Vijana nilikutana nakesi ya binti mmoja aliyenifuata kwa ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo cha tamaa ya zinaa. Binafsi niliupenda sana moyo wake wa uwazi ambapo vijana wengi wanalukutika kutokana na kifungo cha SIRI. Hakuna kifungo kibaya kama kuwa na siri ya uovu- funguka usaidike na kuwekwa huru.
✍Binti huyu alidai kuwa alikuwa na Mahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja wa kiisilamu pamoja na kuachana huwa anatokewa na hisia Kali za zinaa Mara tu anapo mkumbuka huyo jamaa , anachokifanya anajifungia ndani Kama masaa matatu hadi sita anajichua au kujisaga sehemu za siri kwa kutumia uume bandia ( sex toy) aliyenunua dukani. Hii habari iliniumiza kusikia na binti huyu kuokoka lakini haya ndiyo yanayo mkuta. Na mwingine wa namba hiyo yeye hutumia godoro kujisugua kisha anapoteza fahamu kwa takribani nusu saa. Lakini baada ya kuomba nao sasa wapo huru kabisa kwa jina la YESU.
✍WITO:
Kadri tuendeleavyo na somo usisite kuniuliza swali juu ya changamoto yako ili tuone unatokaje hapo.
✍Ili uwekwe huru swala la uwazi na ukweli ndiyo ufunuo wakukutoa kwenye kifungo chochote kile. Nani nikuhakikishie mwisho wa somo hili wote watakao kuwa wamemanisha kutoka kwenye changamoto ya tamaa ya zinaa wote mtafunguliwa kwa jina la Yesu.
☘๐น☘๐น☘๐น☘๐น
3⃣. ZINAA INAFEDHEHESHA:
✍ huu ni ukweli kabisa kuwa mtu afanayaye zinaa hujidharirisha na kupata aibu au fedheha mbele ya jamii inayomzunguka .
❇Mithali 6:32-33
Inasema;
... wala fedheha yake haitafutika.๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Hii inogopesha,kuwa fedheha yake huwa haifutiki mbali na kusamehewa ๐ค๐ค๐ค๐ค.
USHAURI:
✍Jiheshimu wala usijirahisi kwa mvulana au binti ili tu akuoe au umuoe na Mbingu nazo zitakuheshimisha kwani alWewe ni wathamani sana machoni pa Mungu.
☘๐น☘๐น☘๐น
4⃣. ZINAA INAFUTA MAONO NA NDOTO ZA MTU.
✍mpendwa mwanangu ,zinaa humfanya mtu apoteze mwelekeo - vision katika maisha yake na kushindwa kutimiza ndoto - yaani malengo katika maisha yake.
Hebu kumbuka maisha ya Yusufu,
✍Mwanzo 39:7
Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia , lala nami.
❇ Yusufu alikataa kulala na mke wa Farao boss wake Leo hii tungesema mke wa raisi, ambalo kwa vijana wengi Leo wangesema kuota dodo chini ya mparachichi. Yusufu akasema, Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi , wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe umkewe. Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkose Mungu? Mwanzo 39:9
๐ค hili ni darasa na shule tunaipata kwa Yusufu , kuwa alikuwa mtu mwenye maono na ndoto. Hivyo hakuwa tayari kujichafua na kumkosea Mungu wake kwa zinaa na mke wa boss wake.
❇Ukijua umebeba nini kwa ajili ya Mungu utajitunza.
๐๐ปKuna kundi kubwa la vijana Leo wanalia vilio visivyo na machozi kisa walitawaliwa na roho ya zinaa, Leo wamepoteza mwelekeo kwani WAPO NJIA PANDA.
๐น☘๐น☘☘๐น๐น
5⃣. ZINAA HUMWONDELEA MTU UJASIRI WA KUKEMEA DHAMBI.
✍Mtu afanyapo zinaa kukosa kabisa ule ujasiri mbele za Mungu na mbele za mwanadamu.
๐คHii ni kwa sababu moyo wake
umejaa hukumu dhidi ya ile dhambi.
❇1Yohana 3:21-22
✍Mapenzi ,mioyo yetu isipotuhukumu ,tuna ujasiri kwa Mungu; na lolote tuombalo ,twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kutenda yampendezayo machoni pake.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
6⃣. ZINAA HULETA MUUNGANIKO WA NAFSI ( SOUL TIE ).
Mwanangu tambua kuwa tendo la zinaa ni AGANO; hivyo huwaunganisha nafsi- yaani akili, nia, hisia, utashi, fikra, dhana na ufahamu ) za watu wawili na kuwa mwili mmoja. Hiki huwa ni kifungo kibaya sana na kimetesa na kinaendelea kuwatesa watu wengi sana; na wengi wao hawajui cha kufanya kwani watumia akili na nguvu zao kkujinasua imeshindikana kabisa.
♻habari njema kwako inawezekana kabisa kufunguliwa kutoka kwenye kifungo hicho cha muunganiko wa nafsi.๐ธ
๐คNdiyo maana sasa unaweza kukuta mtu ameokoka lakini kabla ya kuokoka alikuwa na mpenzi wake waliokuwa wakifanya naye zinaa, utashangaa wengine hushindwa kuachana na huwa wana endelea na maisha yao ya uzinifu na kanisani anaingia. Hii huwa ni kwa sababu hajafunguliwa kifungo cha muunganiko wa nafsi.
❇KUMBUKA; agano siyo mkataba. Agano huwa halivunjwi , gharama ya kuvunja agano ni kifo. Ndiyo maana sasa Yesu anajiita yeye ni mjumbe wa agano lililo bora.
Na agano linasomba vizazi na vizazi.
1Kor. 6:16
✍Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, wale wawili watakuwa mwili mmoja.
๐คUSHAURI:
Usiendelee na Mahusiano mapya kabla ya kuvunja maagano ya muunganiko wa nafsi, bila kufanya hiyo utakuja kuyatesa maisha yako ya Mahusiano na hata kama utaolewa au kuoa itatesa ndoa yako.
๐ธKwa maelezo , ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo hicho tuwasiliane.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
7⃣ ZINAA HUKIINGIZA KIZAZI CHAKO KWENYE VIFUNGO.
๐คLeo hii kuna watu wengi wanapata mateso amalbayo kimsingi wao siyo wahusika kabisa kwa maana ya kusababisha Bali wamesababishiwa na kujikuta wako kwenye mazingira magumu na hawajui wanayokaje.
๐ธHii yote ni kwa sababu ya misingi iliyowabeba ilikuwa mibovu .
✍Maombolezo 5:7 Baba zetu walitenda dhambi hata hawako, Na sisi tumeyachukua maovu yako.
✍ Zaburi 61:5; Saudi anasema, Tazama , mimi naliumbwa katika hali ya uovu; mama yangu alinichukua mimba hatiyani.
♻Utakuja kugundua anguko la Ufalme Daudi na mke wa Uria 2Sam.11:1-5; 12:9-14 ili kuwa ni sababu ya misingi mibovu ya bibi yake RAHABU yule kahaba, Mathayo 1:1-17
๐ค Daudi alitafuta kujua shida ni nini ndipo anakuja kutambua kuwa misingi yake iliyo mbeba au mlango uliompitisha ni mbovu. Zaburi 51 yote.
NJIA pekee ya kutoka kwenye misingi mibovu ni toba ya kweli na maombi ya utakaso dhidi ya mambo ya siri. Zaburi 19:12
๐๐ป Hii ina umiza sana kuteseka kwa makosa na dhambi na maovu ya watu wengine.
☘ Ukitubu Mungu atakusamehe ila atakisubiri kizazi chako kwa ajili ya malipizi. Utashangaa watoto wanapamabana nahali Fulani bila kujua ni msingi waliupokea kwa wazazi. Bila kupata maarifa haya unakuta MTU unateseka bila kupata msaada.
♻ Lengo kuu la ujumbe huu ili kile kikicho muua baba / mama yako kisikuuwe na wewe.
๐น☘๐น☘
๐น
8⃣ ZINAA HUAMBUKIZA MAGONJWA.
✍Leo hii wapo watu wengi wanalia maana afya zao ni mgogoro kwa sababu ya maambikizi ya magonjwa yatokanayo na kufanya zinaa na mtu mwenye maambukizi .
๐๐ป mfano wa magonjwa haya ni UKIMWI, kaswende, Gonorea, fangasi , n.k
❇ Matokeo ya ya maambuzi haya klyatakanayo na zinaa ni kuua na kuzima ndoto za MTU kabisa.
๐ค Niukweli usiyokanushika kuwa afya ikiharibika hata kama ilikuwa na malengo mazuri kiasi gani utakwama tu kwani utatumia muda mwingi kushughulikia afya yako.
๐๐ป Kumbuka nyuma ya roho ya magonjwa kuna roho ya umasikini na ufukara pamoja na mufirisi.๐ค๐ค
๐คUshauri:
๐ทUsifanye zinaa kwani haina faida yoyote zaidi ya hasara nyingi zisizo na idadi.
๐ทhakuna taji kwa wafanya zinaa zaidi ya adhabu na ghadhabu ya Mungu.
❤☘๐น๐น☘๐น❤
9⃣ ZINAA NI MLANGO WA MAPEPO KWA MTU.
✍Kwa kuwa zinaa ni tendo linalounganisha watu wawili kiakili, kihisia, kiroho na kimwili; basi upo uwezekano mkubwa sana wa mmoja aliye na roho chafu kumwingia mwingine kama vile tu mtu anavyo weza kupata maambukizi mengine ya magonjwa, hata mapepo vivyo hivyo.
☘ Ushauri:
๐Nikuombe sana mwana wa Mungu, ujitunze , umtii Mungu na ujae
moyoni ili usije ukampa nafasi ibilisi.
☘ Jihadhari sana na tamaa ya zinaa ilinusije ukawa Makao ya mapepo na majini na kupelekea kuharibu hatima yako.
๐คKupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.
๐ทAmua Leo chukua hatua za makusudi kuikimbia zinaa.
๐น❤๐น❤☘๐ท๐น☘❤
๐ ZINAA INAUA KIROHO NA KIMWLI.
✍Huu ni ukweli usiyo pingika kuwa zinaa inaweza kusababisha mauti ya kiroho na mwili.
๐คUpo ushahidi wa kibiblia na wa ujuzi katika jamii zetu.
Tazama Mwanzo 18 na 19 kwa habari ya sodoma na Gomora ziliteketezwa kwa moto .
✍kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.๐คท♂๐คท♂๐คท♂
✍ikimbie kabisa zinaa wala isitajwe kwako.
๐น❤๐น❤๐น❤☘๐น❤☘๐น
๐นHaleluya wana wa Mungu mpendwao sana. Leo tuangalie dhara la 11 mwisho katika somo letu la madhara ya kufanya zinaa.
1⃣1⃣ ZINAA INAWEZA KUKUFANYA USIURITHI UFALME WA MUNGU.
๐ธWagalatia 5:19-21
✍ Zinaa itakupelekea kufutwa kwenye ufalme wa Mungu; jambo hili linatisha sana. ๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Ni heri ukose vyote hapa duniani kuliko kuvipita vyote kisha ukaukosa ufalme wa Mungu ambao ndiyo kusudi la sisi kuumbwa na Yesu kuja kufa msalabani kisha kufufuka .
๐บWito kwa wana wa Mungu;
✍Jitunze sana na usafishe kituo chako kiwe kitakatifu ili Mungu asije akaona kitu kisicho safi akageuka na kukuacha.
K/Torati 23:14.
✍ Ni bora kuachwa na mchumba wako kuliko kuachwa na Mungu.
๐ธNikutakie Ushindi mkuu katika Eneo lako la Mahusiano na NDOA.
❤By pastor Songwa Kazi.
☘0757-567899
☘whasap:0719-968160
*** Mwisho***
๐น๐น๐น
๐น๐น๐น♻ MADA: MADHARA YA ZINAA AU NGONO KABLA YA NDOA NA JINSI YA KUFUNGULIWA KUTOKA KWENYE VIFUNGO HIVYO.♻
✍ Nalileta somo hili kwenu kwa sababu ni nawapenda pili sitaki hata mmoja wenu aangamizwe kwa kukosa maarifa au elimu hii ya Mahusiano .
❇UTANGULIZI:
Hebu tuanagalie kwa ufupi nini hasa maana ya zinaa?
✍Zinaa: Nitamaa mbaya ya kufanya tendo la ndoa.
๐คTendo la ndoa siyo dhambi pale likifanywa na wana ndoa kwani hapo ndipo haswaaa lilipo kusudiwa kufanyika na si penginepo. Tendoa la ndoa kutakuwa dhambi nikifanyika nje ya ndoa.
๐ Usisahau dhambi ni kazi ,na kila afanyaye kazi lazima alipwe mshahara wake mwisho wa kazi hiyo.
๐คMshahara wa dhambi ni mauti. Warumi 6:23.
๐๐ปMiongoni mwa dhambi za uchafu na zinazo mkasirisha Mungu zilizo beba uovu na nguvu ya mapatilizo-yaani kisasi na malipizi ni dhambi ya uchawi, uuaji na zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀
✍Wapo wengine husema kuwa tufanye dhambi ya zinaa kisha tutatubu tu. Hebu kabla ya kutenda dhambi au kuwaza toba , angalia kwanza gharama ya dhambi kufanyika; Biblia inasemaje kuhusu dhambi hiyo na toba yake.
✍Upo ushahidi wa kibiblia na kibinadamu juu ya nguvu ya dhambi ya zinaa , hasara zake na matokeo yake mabaya katika maisha ya mtu.
๐ญ๐ญ
๐ธUshuhuda wa tukio la Jana 31-10-2017 tu hapo mitaa ya kizuiani, Dar; Kijana mmoja Malaya alikutwa amekufa ndani ya chumba alichokuwa anafanya zinaa na kahaba mmoja.๐ญ๐ญ๐ญ
Hii inasikitisha sana. Nakuonea shauku sana mwanangu unaye pokea hekima hizi amabazo wengi wamezikosa kabisa.
Lakini nakuhurumia na kukusikitikia Kama utayapuuza maarifa na maonyo haya maana yatakuwa kama mshitaki wako pale utakapo yaasi na kuyaacha.๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ
✍Nguvu ya dhambi na hasara zake katika maisha ya kiroho na kimwili ndiyo ilisababisha hata makanisa na wachungaji kuweka sheria na utaratibu mkali wa kutoka adhabu ya kusimamishwa huduma, kutengwa kwa kipindi Fulani au kufukuzwa kabisa kwenye ushirika kwa watu wanaoingia kwenye shimo la dhambi hii ya zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ
✍Hivyo sasa nitakuletea madhara ya zinaa yasiyopungua kumi na moja ( 11 ) katika mfululizo wa somo hili lakini pia nitakuelekeza jinsi yakutoka kwenye kifungo hicho kwa aliye naswa nacho na jinsi ya kuepuka ili usinase............
Ubarikiwe Sana kwa utakaye fuatilia somo hili.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
Sasa❤❤❤ Shalom wana wa Mungu, hebu Leo tuendelee na mfululizo wa somo letu la madhara ya zinaa......
1⃣ ZINAA INAUA UTU WA NDANI ( NAFSI).
✍Roho ya MTU itastahimili udhaifu wake, Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?
♻Mithali 18:14.
✍ Zinaa inajeruhi utu wa ndani -yaani nafsi ambayo kimsingi nafsi ni wewe.
❇Somo la nafsi ni pana sana , kwani vifungo vya watu wengi vipo kwenye nafsi.
✍Kwa kifupi MTU ni roho mwenye nafsi inayoishi kwenye nyumba ya udongo ambayo ni mwili. Hivyo sasa, ROHO+ NAFSI+ MWILI= MTU.
๐คMtu hafi kwa sababu yeye ni roho kamili.
✍ROHO ndiyo ile pumzi ya Mungu na kimsingi ndiyo inayookoka.
✍NAFSI ndiyo huyo mtu mwenye , kwenye nafsi kuna: Akili, hisia, nia, utashi, fikra, ufahamu na dhana.
๐๐ shetani akifanikiwa kuifunga nafsi yako amekumaliza , kwani mafanikio na ustawi hapa duniani hutegemea Uhuru tulionao kwenye nafsi. Nafsi ndiyo uwanja wa vita.
๐ค Nafsi ndiyo kiwanda cha uzalishaji na uchumba cha kufanyia maamuzi. ( functional falcuty )Sasa itategemea mzalishaji ni nani ? Mungu au shetani?!! Na bidhaa hizo huuletwa kwenye Mwili ili ziwafikie walengwa.
Kazi ya MTU mwili ni kuwasiliana na ulimwengu unaoonekana.
Kumbuka Mungu ni Roho kadhalika shetani naye ni roho hivyo wote wanahitaji mwili wako wautumie ili kufikisha bidhaa zao kwa mwanadamu- mlaji.
๐คNdiyo maana utaona kila kukicha Vijana wengi wanaharibikiwa kwa zinaa, ulevi , n.k kwa sababu shetani anahasira kubwa. Na silaha kubwa anayoitumia shetani kuwamaiza watu ni kuwapandikizia tamaa mbaya ya zinaa.
✍ Mtume Paulo ansema , IKIMBIENI ZINAA. 1Kor.6:18
Cha ajabu nikuwa ; mbali na kusamehewa dhambi zote zinaweza kufutika isipokuwa ya zinaa.
✍Mithali 6:32-33
☘๐ท☘☘๐ท☘๐ท
2⃣. ZINAA HUMVUNJIA MTU HESHIMA.
✍Huu ni ukweli usio pingika kuwa zinaa himwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii husika, hivyo humfanya kudharauliwa na kila mtu........biblia inasema ; atapata jeraha za kuvunjiwa heshima ; wala fedheha yake haitafutika. Mithali 6:32-33.
❇ KUMBUKA: Hakuna mtu anayetaka au anaye penda kudharauliwa ila unayo nafasi ya kuamua watu wakuheshimu au watu wakudharau.
๐คZinaa ni mchezo mchafu ambao humwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii, na hii huwapelekea sasa watu hao kutawaliwa na roho ya kukataliwa na mwisho wake huwa mbaya hasa wasiyo pata msaada wa haraka wa kiroho kwa sababu kimsingi hili ni tatizo la kiroho.
๐คWatu waliotawaliwa na roho ya zinaa wapo tayari kufanya zinaa popote na yeyote kwani dhamiri zao zimetiwa ganzi, haziwezi kupambanua jema au baya.
❇USHUHUDA:
✍Nikiwa katika moja ya makongamano na semina za Vijana nilikutana nakesi ya binti mmoja aliyenifuata kwa ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo cha tamaa ya zinaa. Binafsi niliupenda sana moyo wake wa uwazi ambapo vijana wengi wanalukutika kutokana na kifungo cha SIRI. Hakuna kifungo kibaya kama kuwa na siri ya uovu- funguka usaidike na kuwekwa huru.
✍Binti huyu alidai kuwa alikuwa na Mahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja wa kiisilamu pamoja na kuachana huwa anatokewa na hisia Kali za zinaa Mara tu anapo mkumbuka huyo jamaa , anachokifanya anajifungia ndani Kama masaa matatu hadi sita anajichua au kujisaga sehemu za siri kwa kutumia uume bandia ( sex toy) aliyenunua dukani. Hii habari iliniumiza kusikia na binti huyu kuokoka lakini haya ndiyo yanayo mkuta. Na mwingine wa namba hiyo yeye hutumia godoro kujisugua kisha anapoteza fahamu kwa takribani nusu saa. Lakini baada ya kuomba nao sasa wapo huru kabisa kwa jina la YESU.
✍WITO:
Kadri tuendeleavyo na somo usisite kuniuliza swali juu ya changamoto yako ili tuone unatokaje hapo.
✍Ili uwekwe huru swala la uwazi na ukweli ndiyo ufunuo wakukutoa kwenye kifungo chochote kile. Nani nikuhakikishie mwisho wa somo hili wote watakao kuwa wamemanisha kutoka kwenye changamoto ya tamaa ya zinaa wote mtafunguliwa kwa jina la Yesu.
☘๐น☘๐น☘๐น☘๐น
3⃣. ZINAA INAFEDHEHESHA:
✍ huu ni ukweli kabisa kuwa mtu afanayaye zinaa hujidharirisha na kupata aibu au fedheha mbele ya jamii inayomzunguka .
❇Mithali 6:32-33
Inasema;
... wala fedheha yake haitafutika.๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Hii inogopesha,kuwa fedheha yake huwa haifutiki mbali na kusamehewa ๐ค๐ค๐ค๐ค.
USHAURI:
✍Jiheshimu wala usijirahisi kwa mvulana au binti ili tu akuoe au umuoe na Mbingu nazo zitakuheshimisha kwani alWewe ni wathamani sana machoni pa Mungu.
☘๐น☘๐น☘๐น
4⃣. ZINAA INAFUTA MAONO NA NDOTO ZA MTU.
✍mpendwa mwanangu ,zinaa humfanya mtu apoteze mwelekeo - vision katika maisha yake na kushindwa kutimiza ndoto - yaani malengo katika maisha yake.
Hebu kumbuka maisha ya Yusufu,
✍Mwanzo 39:7
Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia , lala nami.
❇ Yusufu alikataa kulala na mke wa Farao boss wake Leo hii tungesema mke wa raisi, ambalo kwa vijana wengi Leo wangesema kuota dodo chini ya mparachichi. Yusufu akasema, Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi , wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe umkewe. Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkose Mungu? Mwanzo 39:9
๐ค hili ni darasa na shule tunaipata kwa Yusufu , kuwa alikuwa mtu mwenye maono na ndoto. Hivyo hakuwa tayari kujichafua na kumkosea Mungu wake kwa zinaa na mke wa boss wake.
❇Ukijua umebeba nini kwa ajili ya Mungu utajitunza.
๐๐ปKuna kundi kubwa la vijana Leo wanalia vilio visivyo na machozi kisa walitawaliwa na roho ya zinaa, Leo wamepoteza mwelekeo kwani WAPO NJIA PANDA.
๐น☘๐น☘☘๐น๐น
5⃣. ZINAA HUMWONDELEA MTU UJASIRI WA KUKEMEA DHAMBI.
✍Mtu afanyapo zinaa kukosa kabisa ule ujasiri mbele za Mungu na mbele za mwanadamu.
๐คHii ni kwa sababu moyo wake
umejaa hukumu dhidi ya ile dhambi.
❇1Yohana 3:21-22
✍Mapenzi ,mioyo yetu isipotuhukumu ,tuna ujasiri kwa Mungu; na lolote tuombalo ,twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kutenda yampendezayo machoni pake.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
6⃣. ZINAA HULETA MUUNGANIKO WA NAFSI ( SOUL TIE ).
Mwanangu tambua kuwa tendo la zinaa ni AGANO; hivyo huwaunganisha nafsi- yaani akili, nia, hisia, utashi, fikra, dhana na ufahamu ) za watu wawili na kuwa mwili mmoja. Hiki huwa ni kifungo kibaya sana na kimetesa na kinaendelea kuwatesa watu wengi sana; na wengi wao hawajui cha kufanya kwani watumia akili na nguvu zao kkujinasua imeshindikana kabisa.
♻habari njema kwako inawezekana kabisa kufunguliwa kutoka kwenye kifungo hicho cha muunganiko wa nafsi.๐ธ
๐คNdiyo maana sasa unaweza kukuta mtu ameokoka lakini kabla ya kuokoka alikuwa na mpenzi wake waliokuwa wakifanya naye zinaa, utashangaa wengine hushindwa kuachana na huwa wana endelea na maisha yao ya uzinifu na kanisani anaingia. Hii huwa ni kwa sababu hajafunguliwa kifungo cha muunganiko wa nafsi.
❇KUMBUKA; agano siyo mkataba. Agano huwa halivunjwi , gharama ya kuvunja agano ni kifo. Ndiyo maana sasa Yesu anajiita yeye ni mjumbe wa agano lililo bora.
Na agano linasomba vizazi na vizazi.
1Kor. 6:16
✍Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, wale wawili watakuwa mwili mmoja.
๐คUSHAURI:
Usiendelee na Mahusiano mapya kabla ya kuvunja maagano ya muunganiko wa nafsi, bila kufanya hiyo utakuja kuyatesa maisha yako ya Mahusiano na hata kama utaolewa au kuoa itatesa ndoa yako.
๐ธKwa maelezo , ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo hicho tuwasiliane.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
7⃣ ZINAA HUKIINGIZA KIZAZI CHAKO KWENYE VIFUNGO.
๐คLeo hii kuna watu wengi wanapata mateso amalbayo kimsingi wao siyo wahusika kabisa kwa maana ya kusababisha Bali wamesababishiwa na kujikuta wako kwenye mazingira magumu na hawajui wanayokaje.
๐ธHii yote ni kwa sababu ya misingi iliyowabeba ilikuwa mibovu .
✍Maombolezo 5:7 Baba zetu walitenda dhambi hata hawako, Na sisi tumeyachukua maovu yako.
✍ Zaburi 61:5; Saudi anasema, Tazama , mimi naliumbwa katika hali ya uovu; mama yangu alinichukua mimba hatiyani.
♻Utakuja kugundua anguko la Ufalme Daudi na mke wa Uria 2Sam.11:1-5; 12:9-14 ili kuwa ni sababu ya misingi mibovu ya bibi yake RAHABU yule kahaba, Mathayo 1:1-17
๐ค Daudi alitafuta kujua shida ni nini ndipo anakuja kutambua kuwa misingi yake iliyo mbeba au mlango uliompitisha ni mbovu. Zaburi 51 yote.
NJIA pekee ya kutoka kwenye misingi mibovu ni toba ya kweli na maombi ya utakaso dhidi ya mambo ya siri. Zaburi 19:12
๐๐ป Hii ina umiza sana kuteseka kwa makosa na dhambi na maovu ya watu wengine.
☘ Ukitubu Mungu atakusamehe ila atakisubiri kizazi chako kwa ajili ya malipizi. Utashangaa watoto wanapamabana nahali Fulani bila kujua ni msingi waliupokea kwa wazazi. Bila kupata maarifa haya unakuta MTU unateseka bila kupata msaada.
♻ Lengo kuu la ujumbe huu ili kile kikicho muua baba / mama yako kisikuuwe na wewe.
๐น☘๐น☘
๐น
8⃣ ZINAA HUAMBUKIZA MAGONJWA.
✍Leo hii wapo watu wengi wanalia maana afya zao ni mgogoro kwa sababu ya maambikizi ya magonjwa yatokanayo na kufanya zinaa na mtu mwenye maambukizi .
๐๐ป mfano wa magonjwa haya ni UKIMWI, kaswende, Gonorea, fangasi , n.k
❇ Matokeo ya ya maambuzi haya klyatakanayo na zinaa ni kuua na kuzima ndoto za MTU kabisa.
๐ค Niukweli usiyokanushika kuwa afya ikiharibika hata kama ilikuwa na malengo mazuri kiasi gani utakwama tu kwani utatumia muda mwingi kushughulikia afya yako.
๐๐ป Kumbuka nyuma ya roho ya magonjwa kuna roho ya umasikini na ufukara pamoja na mufirisi.๐ค๐ค
๐คUshauri:
๐ทUsifanye zinaa kwani haina faida yoyote zaidi ya hasara nyingi zisizo na idadi.
๐ทhakuna taji kwa wafanya zinaa zaidi ya adhabu na ghadhabu ya Mungu.
❤☘๐น๐น☘๐น❤
9⃣ ZINAA NI MLANGO WA MAPEPO KWA MTU.
✍Kwa kuwa zinaa ni tendo linalounganisha watu wawili kiakili, kihisia, kiroho na kimwili; basi upo uwezekano mkubwa sana wa mmoja aliye na roho chafu kumwingia mwingine kama vile tu mtu anavyo weza kupata maambukizi mengine ya magonjwa, hata mapepo vivyo hivyo.
☘ Ushauri:
๐Nikuombe sana mwana wa Mungu, ujitunze , umtii Mungu na ujae
moyoni ili usije ukampa nafasi ibilisi.
☘ Jihadhari sana na tamaa ya zinaa ilinusije ukawa Makao ya mapepo na majini na kupelekea kuharibu hatima yako.
๐คKupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.
๐ทAmua Leo chukua hatua za makusudi kuikimbia zinaa.
๐น❤๐น❤☘๐ท๐น☘❤
๐ ZINAA INAUA KIROHO NA KIMWLI.
✍Huu ni ukweli usiyo pingika kuwa zinaa inaweza kusababisha mauti ya kiroho na mwili.
๐คUpo ushahidi wa kibiblia na wa ujuzi katika jamii zetu.
Tazama Mwanzo 18 na 19 kwa habari ya sodoma na Gomora ziliteketezwa kwa moto .
✍kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.๐คท♂๐คท♂๐คท♂
✍ikimbie kabisa zinaa wala isitajwe kwako.
๐น❤๐น❤๐น❤☘๐น❤☘๐น
๐นHaleluya wana wa Mungu mpendwao sana. Leo tuangalie dhara la 11 mwisho katika somo letu la madhara ya kufanya zinaa.
1⃣1⃣ ZINAA INAWEZA KUKUFANYA USIURITHI UFALME WA MUNGU.
๐ธWagalatia 5:19-21
✍ Zinaa itakupelekea kufutwa kwenye ufalme wa Mungu; jambo hili linatisha sana. ๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Ni heri ukose vyote hapa duniani kuliko kuvipita vyote kisha ukaukosa ufalme wa Mungu ambao ndiyo kusudi la sisi kuumbwa na Yesu kuja kufa msalabani kisha kufufuka .
๐บWito kwa wana wa Mungu;
✍Jitunze sana na usafishe kituo chako kiwe kitakatifu ili Mungu asije akaona kitu kisicho safi akageuka na kukuacha.
K/Torati 23:14.
✍ Ni bora kuachwa na mchumba wako kuliko kuachwa na Mungu.
๐ธNikutakie Ushindi mkuu katika Eneo lako la Mahusiano na NDOA.
❤By pastor Songwa Kazi.
☘0757-567899
☘whasap:0719-968160
*** Mwisho***
๐น๐น๐น
๐น๐น๐น♻ MADA: MADHARA YA ZINAA AU NGONO KABLA YA NDOA NA JINSI YA KUFUNGULIWA KUTOKA KWENYE VIFUNGO HIVYO.♻
✍ Nalileta somo hili kwenu kwa sababu ni nawapenda pili sitaki hata mmoja wenu aangamizwe kwa kukosa maarifa au elimu hii ya Mahusiano .
❇UTANGULIZI:
Hebu tuanagalie kwa ufupi nini hasa maana ya zinaa?
✍Zinaa: Nitamaa mbaya ya kufanya tendo la ndoa.
๐คTendo la ndoa siyo dhambi pale likifanywa na wana ndoa kwani hapo ndipo haswaaa lilipo kusudiwa kufanyika na si penginepo. Tendoa la ndoa kutakuwa dhambi nikifanyika nje ya ndoa.
๐ Usisahau dhambi ni kazi ,na kila afanyaye kazi lazima alipwe mshahara wake mwisho wa kazi hiyo.
๐คMshahara wa dhambi ni mauti. Warumi 6:23.
๐๐ปMiongoni mwa dhambi za uchafu na zinazo mkasirisha Mungu zilizo beba uovu na nguvu ya mapatilizo-yaani kisasi na malipizi ni dhambi ya uchawi, uuaji na zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀
✍Wapo wengine husema kuwa tufanye dhambi ya zinaa kisha tutatubu tu. Hebu kabla ya kutenda dhambi au kuwaza toba , angalia kwanza gharama ya dhambi kufanyika; Biblia inasemaje kuhusu dhambi hiyo na toba yake.
✍Upo ushahidi wa kibiblia na kibinadamu juu ya nguvu ya dhambi ya zinaa , hasara zake na matokeo yake mabaya katika maisha ya mtu.
๐ญ๐ญ
๐ธUshuhuda wa tukio la Jana 31-10-2017 tu hapo mitaa ya kizuiani, Dar; Kijana mmoja Malaya alikutwa amekufa ndani ya chumba alichokuwa anafanya zinaa na kahaba mmoja.๐ญ๐ญ๐ญ
Hii inasikitisha sana. Nakuonea shauku sana mwanangu unaye pokea hekima hizi amabazo wengi wamezikosa kabisa.
Lakini nakuhurumia na kukusikitikia Kama utayapuuza maarifa na maonyo haya maana yatakuwa kama mshitaki wako pale utakapo yaasi na kuyaacha.๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ
✍Nguvu ya dhambi na hasara zake katika maisha ya kiroho na kimwili ndiyo ilisababisha hata makanisa na wachungaji kuweka sheria na utaratibu mkali wa kutoka adhabu ya kusimamishwa huduma, kutengwa kwa kipindi Fulani au kufukuzwa kabisa kwenye ushirika kwa watu wanaoingia kwenye shimo la dhambi hii ya zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ
✍Hivyo sasa nitakuletea madhara ya zinaa yasiyopungua kumi na moja ( 11 ) katika mfululizo wa somo hili lakini pia nitakuelekeza jinsi yakutoka kwenye kifungo hicho kwa aliye naswa nacho na jinsi ya kuepuka ili usinase............
Ubarikiwe Sana kwa utakaye fuatilia somo hili.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
Sasa❤❤❤ Shalom wana wa Mungu, hebu Leo tuendelee na mfululizo wa somo letu la madhara ya zinaa......
1⃣ ZINAA INAUA UTU WA NDANI ( NAFSI).
✍Roho ya MTU itastahimili udhaifu wake, Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?
♻Mithali 18:14.
✍ Zinaa inajeruhi utu wa ndani -yaani nafsi ambayo kimsingi nafsi ni wewe.
❇Somo la nafsi ni pana sana , kwani vifungo vya watu wengi vipo kwenye nafsi.
✍Kwa kifupi MTU ni roho mwenye nafsi inayoishi kwenye nyumba ya udongo ambayo ni mwili. Hivyo sasa, ROHO+ NAFSI+ MWILI= MTU.
๐คMtu hafi kwa sababu yeye ni roho kamili.
✍ROHO ndiyo ile pumzi ya Mungu na kimsingi ndiyo inayookoka.
✍NAFSI ndiyo huyo mtu mwenye , kwenye nafsi kuna: Akili, hisia, nia, utashi, fikra, ufahamu na dhana.
๐๐ shetani akifanikiwa kuifunga nafsi yako amekumaliza , kwani mafanikio na ustawi hapa duniani hutegemea Uhuru tulionao kwenye nafsi. Nafsi ndiyo uwanja wa vita.
๐ค Nafsi ndiyo kiwanda cha uzalishaji na uchumba cha kufanyia maamuzi. ( functional falcuty )Sasa itategemea mzalishaji ni nani ? Mungu au shetani?!! Na bidhaa hizo huuletwa kwenye Mwili ili ziwafikie walengwa.
Kazi ya MTU mwili ni kuwasiliana na ulimwengu unaoonekana.
Kumbuka Mungu ni Roho kadhalika shetani naye ni roho hivyo wote wanahitaji mwili wako wautumie ili kufikisha bidhaa zao kwa mwanadamu- mlaji.
๐คNdiyo maana utaona kila kukicha Vijana wengi wanaharibikiwa kwa zinaa, ulevi , n.k kwa sababu shetani anahasira kubwa. Na silaha kubwa anayoitumia shetani kuwamaiza watu ni kuwapandikizia tamaa mbaya ya zinaa.
✍ Mtume Paulo ansema , IKIMBIENI ZINAA. 1Kor.6:18
Cha ajabu nikuwa ; mbali na kusamehewa dhambi zote zinaweza kufutika isipokuwa ya zinaa.
✍Mithali 6:32-33
☘๐ท☘☘๐ท☘๐ท
2⃣. ZINAA HUMVUNJIA MTU HESHIMA.
✍Huu ni ukweli usio pingika kuwa zinaa himwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii husika, hivyo humfanya kudharauliwa na kila mtu........biblia inasema ; atapata jeraha za kuvunjiwa heshima ; wala fedheha yake haitafutika. Mithali 6:32-33.
❇ KUMBUKA: Hakuna mtu anayetaka au anaye penda kudharauliwa ila unayo nafasi ya kuamua watu wakuheshimu au watu wakudharau.
๐คZinaa ni mchezo mchafu ambao humwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii, na hii huwapelekea sasa watu hao kutawaliwa na roho ya kukataliwa na mwisho wake huwa mbaya hasa wasiyo pata msaada wa haraka wa kiroho kwa sababu kimsingi hili ni tatizo la kiroho.
๐คWatu waliotawaliwa na roho ya zinaa wapo tayari kufanya zinaa popote na yeyote kwani dhamiri zao zimetiwa ganzi, haziwezi kupambanua jema au baya.
❇USHUHUDA:
✍Nikiwa katika moja ya makongamano na semina za Vijana nilikutana nakesi ya binti mmoja aliyenifuata kwa ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo cha tamaa ya zinaa. Binafsi niliupenda sana moyo wake wa uwazi ambapo vijana wengi wanalukutika kutokana na kifungo cha SIRI. Hakuna kifungo kibaya kama kuwa na siri ya uovu- funguka usaidike na kuwekwa huru.
✍Binti huyu alidai kuwa alikuwa na Mahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja wa kiisilamu pamoja na kuachana huwa anatokewa na hisia Kali za zinaa Mara tu anapo mkumbuka huyo jamaa , anachokifanya anajifungia ndani Kama masaa matatu hadi sita anajichua au kujisaga sehemu za siri kwa kutumia uume bandia ( sex toy) aliyenunua dukani. Hii habari iliniumiza kusikia na binti huyu kuokoka lakini haya ndiyo yanayo mkuta. Na mwingine wa namba hiyo yeye hutumia godoro kujisugua kisha anapoteza fahamu kwa takribani nusu saa. Lakini baada ya kuomba nao sasa wapo huru kabisa kwa jina la YESU.
✍WITO:
Kadri tuendeleavyo na somo usisite kuniuliza swali juu ya changamoto yako ili tuone unatokaje hapo.
✍Ili uwekwe huru swala la uwazi na ukweli ndiyo ufunuo wakukutoa kwenye kifungo chochote kile. Nani nikuhakikishie mwisho wa somo hili wote watakao kuwa wamemanisha kutoka kwenye changamoto ya tamaa ya zinaa wote mtafunguliwa kwa jina la Yesu.
☘๐น☘๐น☘๐น☘๐น
3⃣. ZINAA INAFEDHEHESHA:
✍ huu ni ukweli kabisa kuwa mtu afanayaye zinaa hujidharirisha na kupata aibu au fedheha mbele ya jamii inayomzunguka .
❇Mithali 6:32-33
Inasema;
... wala fedheha yake haitafutika.๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Hii inogopesha,kuwa fedheha yake huwa haifutiki mbali na kusamehewa ๐ค๐ค๐ค๐ค.
USHAURI:
✍Jiheshimu wala usijirahisi kwa mvulana au binti ili tu akuoe au umuoe na Mbingu nazo zitakuheshimisha kwani alWewe ni wathamani sana machoni pa Mungu.
☘๐น☘๐น☘๐น
4⃣. ZINAA INAFUTA MAONO NA NDOTO ZA MTU.
✍mpendwa mwanangu ,zinaa humfanya mtu apoteze mwelekeo - vision katika maisha yake na kushindwa kutimiza ndoto - yaani malengo katika maisha yake.
Hebu kumbuka maisha ya Yusufu,
✍Mwanzo 39:7
Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia , lala nami.
❇ Yusufu alikataa kulala na mke wa Farao boss wake Leo hii tungesema mke wa raisi, ambalo kwa vijana wengi Leo wangesema kuota dodo chini ya mparachichi. Yusufu akasema, Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi , wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe umkewe. Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkose Mungu? Mwanzo 39:9
๐ค hili ni darasa na shule tunaipata kwa Yusufu , kuwa alikuwa mtu mwenye maono na ndoto. Hivyo hakuwa tayari kujichafua na kumkosea Mungu wake kwa zinaa na mke wa boss wake.
❇Ukijua umebeba nini kwa ajili ya Mungu utajitunza.
๐๐ปKuna kundi kubwa la vijana Leo wanalia vilio visivyo na machozi kisa walitawaliwa na roho ya zinaa, Leo wamepoteza mwelekeo kwani WAPO NJIA PANDA.
๐น☘๐น☘☘๐น๐น
5⃣. ZINAA HUMWONDELEA MTU UJASIRI WA KUKEMEA DHAMBI.
✍Mtu afanyapo zinaa kukosa kabisa ule ujasiri mbele za Mungu na mbele za mwanadamu.
๐คHii ni kwa sababu moyo wake
umejaa hukumu dhidi ya ile dhambi.
❇1Yohana 3:21-22
✍Mapenzi ,mioyo yetu isipotuhukumu ,tuna ujasiri kwa Mungu; na lolote tuombalo ,twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kutenda yampendezayo machoni pake.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
6⃣. ZINAA HULETA MUUNGANIKO WA NAFSI ( SOUL TIE ).
Mwanangu tambua kuwa tendo la zinaa ni AGANO; hivyo huwaunganisha nafsi- yaani akili, nia, hisia, utashi, fikra, dhana na ufahamu ) za watu wawili na kuwa mwili mmoja. Hiki huwa ni kifungo kibaya sana na kimetesa na kinaendelea kuwatesa watu wengi sana; na wengi wao hawajui cha kufanya kwani watumia akili na nguvu zao kkujinasua imeshindikana kabisa.
♻habari njema kwako inawezekana kabisa kufunguliwa kutoka kwenye kifungo hicho cha muunganiko wa nafsi.๐ธ
๐คNdiyo maana sasa unaweza kukuta mtu ameokoka lakini kabla ya kuokoka alikuwa na mpenzi wake waliokuwa wakifanya naye zinaa, utashangaa wengine hushindwa kuachana na huwa wana endelea na maisha yao ya uzinifu na kanisani anaingia. Hii huwa ni kwa sababu hajafunguliwa kifungo cha muunganiko wa nafsi.
❇KUMBUKA; agano siyo mkataba. Agano huwa halivunjwi , gharama ya kuvunja agano ni kifo. Ndiyo maana sasa Yesu anajiita yeye ni mjumbe wa agano lililo bora.
Na agano linasomba vizazi na vizazi.
1Kor. 6:16
✍Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, wale wawili watakuwa mwili mmoja.
๐คUSHAURI:
Usiendelee na Mahusiano mapya kabla ya kuvunja maagano ya muunganiko wa nafsi, bila kufanya hiyo utakuja kuyatesa maisha yako ya Mahusiano na hata kama utaolewa au kuoa itatesa ndoa yako.
๐ธKwa maelezo , ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo hicho tuwasiliane.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
7⃣ ZINAA HUKIINGIZA KIZAZI CHAKO KWENYE VIFUNGO.
๐คLeo hii kuna watu wengi wanapata mateso amalbayo kimsingi wao siyo wahusika kabisa kwa maana ya kusababisha Bali wamesababishiwa na kujikuta wako kwenye mazingira magumu na hawajui wanayokaje.
๐ธHii yote ni kwa sababu ya misingi iliyowabeba ilikuwa mibovu .
✍Maombolezo 5:7 Baba zetu walitenda dhambi hata hawako, Na sisi tumeyachukua maovu yako.
✍ Zaburi 61:5; Saudi anasema, Tazama , mimi naliumbwa katika hali ya uovu; mama yangu alinichukua mimba hatiyani.
♻Utakuja kugundua anguko la Ufalme Daudi na mke wa Uria 2Sam.11:1-5; 12:9-14 ili kuwa ni sababu ya misingi mibovu ya bibi yake RAHABU yule kahaba, Mathayo 1:1-17
๐ค Daudi alitafuta kujua shida ni nini ndipo anakuja kutambua kuwa misingi yake iliyo mbeba au mlango uliompitisha ni mbovu. Zaburi 51 yote.
NJIA pekee ya kutoka kwenye misingi mibovu ni toba ya kweli na maombi ya utakaso dhidi ya mambo ya siri. Zaburi 19:12
๐๐ป Hii ina umiza sana kuteseka kwa makosa na dhambi na maovu ya watu wengine.
☘ Ukitubu Mungu atakusamehe ila atakisubiri kizazi chako kwa ajili ya malipizi. Utashangaa watoto wanapamabana nahali Fulani bila kujua ni msingi waliupokea kwa wazazi. Bila kupata maarifa haya unakuta MTU unateseka bila kupata msaada.
♻ Lengo kuu la ujumbe huu ili kile kikicho muua baba / mama yako kisikuuwe na wewe.
๐น☘๐น☘
๐น
8⃣ ZINAA HUAMBUKIZA MAGONJWA.
✍Leo hii wapo watu wengi wanalia maana afya zao ni mgogoro kwa sababu ya maambikizi ya magonjwa yatokanayo na kufanya zinaa na mtu mwenye maambukizi .
๐๐ป mfano wa magonjwa haya ni UKIMWI, kaswende, Gonorea, fangasi , n.k
❇ Matokeo ya ya maambuzi haya klyatakanayo na zinaa ni kuua na kuzima ndoto za MTU kabisa.
๐ค Niukweli usiyokanushika kuwa afya ikiharibika hata kama ilikuwa na malengo mazuri kiasi gani utakwama tu kwani utatumia muda mwingi kushughulikia afya yako.
๐๐ป Kumbuka nyuma ya roho ya magonjwa kuna roho ya umasikini na ufukara pamoja na mufirisi.๐ค๐ค
๐คUshauri:
๐ทUsifanye zinaa kwani haina faida yoyote zaidi ya hasara nyingi zisizo na idadi.
๐ทhakuna taji kwa wafanya zinaa zaidi ya adhabu na ghadhabu ya Mungu.
❤☘๐น๐น☘๐น❤
9⃣ ZINAA NI MLANGO WA MAPEPO KWA MTU.
✍Kwa kuwa zinaa ni tendo linalounganisha watu wawili kiakili, kihisia, kiroho na kimwili; basi upo uwezekano mkubwa sana wa mmoja aliye na roho chafu kumwingia mwingine kama vile tu mtu anavyo weza kupata maambukizi mengine ya magonjwa, hata mapepo vivyo hivyo.
☘ Ushauri:
๐Nikuombe sana mwana wa Mungu, ujitunze , umtii Mungu na ujae
moyoni ili usije ukampa nafasi ibilisi.
☘ Jihadhari sana na tamaa ya zinaa ilinusije ukawa Makao ya mapepo na majini na kupelekea kuharibu hatima yako.
๐คKupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.
๐ทAmua Leo chukua hatua za makusudi kuikimbia zinaa.
๐น❤๐น❤☘๐ท๐น☘❤
๐ ZINAA INAUA KIROHO NA KIMWLI.
✍Huu ni ukweli usiyo pingika kuwa zinaa inaweza kusababisha mauti ya kiroho na mwili.
๐คUpo ushahidi wa kibiblia na wa ujuzi katika jamii zetu.
Tazama Mwanzo 18 na 19 kwa habari ya sodoma na Gomora ziliteketezwa kwa moto .
✍kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.๐คท♂๐คท♂๐คท♂
✍ikimbie kabisa zinaa wala isitajwe kwako.
๐น❤๐น❤๐น❤☘๐น❤☘๐น
๐นHaleluya wana wa Mungu mpendwao sana. Leo tuangalie dhara la 11 mwisho katika somo letu la madhara ya kufanya zinaa.
1⃣1⃣ ZINAA INAWEZA KUKUFANYA USIURITHI UFALME WA MUNGU.
๐ธWagalatia 5:19-21
✍ Zinaa itakupelekea kufutwa kwenye ufalme wa Mungu; jambo hili linatisha sana. ๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Ni heri ukose vyote hapa duniani kuliko kuvipita vyote kisha ukaukosa ufalme wa Mungu ambao ndiyo kusudi la sisi kuumbwa na Yesu kuja kufa msalabani kisha kufufuka .
๐บWito kwa wana wa Mungu;
✍Jitunze sana na usafishe kituo chako kiwe kitakatifu ili Mungu asije akaona kitu kisicho safi akageuka na kukuacha.
K/Torati 23:14.
✍ Ni bora kuachwa na mchumba wako kuliko kuachwa na Mungu.
๐ธNikutakie Ushindi mkuu katika Eneo lako la Mahusiano na NDOA.
❤By pastor Songwa Kazi.
☘0757-567899
☘whasap:0719-968160
*** Mwisho***
๐น๐น๐น
๐น๐น๐น
No comments:
Post a Comment