♻ MADA: MADHARA YA ZINAA AU NGONO KABLA YA NDOA NA JINSI YA KUFUNGULIWA KUTOKA KWENYE VIFUNGO HIVYO.♻
✍ Nalileta somo hili kwenu kwa sababu ni nawapenda pili sitaki hata mmoja wenu aangamizwe kwa kukosa maarifa au elimu hii ya Mahusiano .
❇UTANGULIZI:
Hebu tuanagalie kwa ufupi nini hasa maana ya zinaa?
✍Zinaa: Nitamaa mbaya ya kufanya tendo la ndoa.
๐คTendo la ndoa siyo dhambi pale likifanywa na wana ndoa kwani hapo ndipo haswaaa lilipo kusudiwa kufanyika na si penginepo. Tendoa la ndoa kutakuwa dhambi nikifanyika nje ya ndoa.
๐ Usisahau dhambi ni kazi ,na kila afanyaye kazi lazima alipwe mshahara wake mwisho wa kazi hiyo.
๐คMshahara wa dhambi ni mauti. Warumi 6:23.
๐๐ปMiongoni mwa dhambi za uchafu na zinazo mkasirisha Mungu zilizo beba uovu na nguvu ya mapatilizo-yaani kisasi na malipizi ni dhambi ya uchawi, uuaji na zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀
✍Wapo wengine husema kuwa tufanye dhambi ya zinaa kisha tutatubu tu. Hebu kabla ya kutenda dhambi au kuwaza toba , angalia kwanza gharama ya dhambi kufanyika; Biblia inasemaje kuhusu dhambi hiyo na toba yake.
✍Upo ushahidi wa kibiblia na kibinadamu juu ya nguvu ya dhambi ya zinaa , hasara zake na matokeo yake mabaya katika maisha ya mtu.
๐ญ๐ญ
๐ธUshuhuda wa tukio la Jana 31-10-2017 tu hapo mitaa ya kizuiani, Dar; Kijana mmoja Malaya alikutwa amekufa ndani ya chumba alichokuwa anafanya zinaa na kahaba mmoja.๐ญ๐ญ๐ญ
Hii inasikitisha sana. Nakuonea shauku sana mwanangu unaye pokea hekima hizi amabazo wengi wamezikosa kabisa.
Lakini nakuhurumia na kukusikitikia Kama utayapuuza maarifa na maonyo haya maana yatakuwa kama mshitaki wako pale utakapo yaasi na kuyaacha.๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ
✍Nguvu ya dhambi na hasara zake katika maisha ya kiroho na kimwili ndiyo ilisababisha hata makanisa na wachungaji kuweka sheria na utaratibu mkali wa kutoka adhabu ya kusimamishwa huduma, kutengwa kwa kipindi Fulani au kufukuzwa kabisa kwenye ushirika kwa watu wanaoingia kwenye shimo la dhambi hii ya zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ
✍Hivyo sasa nitakuletea madhara ya zinaa yasiyopungua kumi na moja ( 11 ) katika mfululizo wa somo hili lakini pia nitakuelekeza jinsi yakutoka kwenye kifungo hicho kwa aliye naswa nacho na jinsi ya kuepuka ili usinase............
Ubarikiwe Sana kwa utakaye fuatilia somo hili.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
Sasa❤❤❤ Shalom wana wa Mungu, hebu Leo tuendelee na mfululizo wa somo letu la madhara ya zinaa......
1⃣ ZINAA INAUA UTU WA NDANI ( NAFSI).
✍Roho ya MTU itastahimili udhaifu wake, Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?
♻Mithali 18:14.
✍ Zinaa inajeruhi utu wa ndani -yaani nafsi ambayo kimsingi nafsi ni wewe.
❇Somo la nafsi ni pana sana , kwani vifungo vya watu wengi vipo kwenye nafsi.
✍Kwa kifupi MTU ni roho mwenye nafsi inayoishi kwenye nyumba ya udongo ambayo ni mwili. Hivyo sasa, ROHO+ NAFSI+ MWILI= MTU.
๐คMtu hafi kwa sababu yeye ni roho kamili.
✍ROHO ndiyo ile pumzi ya Mungu na kimsingi ndiyo inayookoka.
✍NAFSI ndiyo huyo mtu mwenye , kwenye nafsi kuna: Akili, hisia, nia, utashi, fikra, ufahamu na dhana.
๐๐ shetani akifanikiwa kuifunga nafsi yako amekumaliza , kwani mafanikio na ustawi hapa duniani hutegemea Uhuru tulionao kwenye nafsi. Nafsi ndiyo uwanja wa vita.
๐ค Nafsi ndiyo kiwanda cha uzalishaji na uchumba cha kufanyia maamuzi. ( functional falcuty )Sasa itategemea mzalishaji ni nani ? Mungu au shetani?!! Na bidhaa hizo huuletwa kwenye Mwili ili ziwafikie walengwa.
Kazi ya MTU mwili ni kuwasiliana na ulimwengu unaoonekana.
Kumbuka Mungu ni Roho kadhalika shetani naye ni roho hivyo wote wanahitaji mwili wako wautumie ili kufikisha bidhaa zao kwa mwanadamu- mlaji.
๐คNdiyo maana utaona kila kukicha Vijana wengi wanaharibikiwa kwa zinaa, ulevi , n.k kwa sababu shetani anahasira kubwa. Na silaha kubwa anayoitumia shetani kuwamaiza watu ni kuwapandikizia tamaa mbaya ya zinaa.
✍ Mtume Paulo ansema , IKIMBIENI ZINAA. 1Kor.6:18
Cha ajabu nikuwa ; mbali na kusamehewa dhambi zote zinaweza kufutika isipokuwa ya zinaa.
✍Mithali 6:32-33
☘๐ท☘☘๐ท☘๐ท
2⃣. ZINAA HUMVUNJIA MTU HESHIMA.
✍Huu ni ukweli usio pingika kuwa zinaa himwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii husika, hivyo humfanya kudharauliwa na kila mtu........biblia inasema ; atapata jeraha za kuvunjiwa heshima ; wala fedheha yake haitafutika. Mithali 6:32-33.
❇ KUMBUKA: Hakuna mtu anayetaka au anaye penda kudharauliwa ila unayo nafasi ya kuamua watu wakuheshimu au watu wakudharau.
๐คZinaa ni mchezo mchafu ambao humwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii, na hii huwapelekea sasa watu hao kutawaliwa na roho ya kukataliwa na mwisho wake huwa mbaya hasa wasiyo pata msaada wa haraka wa kiroho kwa sababu kimsingi hili ni tatizo la kiroho.
๐คWatu waliotawaliwa na roho ya zinaa wapo tayari kufanya zinaa popote na yeyote kwani dhamiri zao zimetiwa ganzi, haziwezi kupambanua jema au baya.
❇USHUHUDA:
✍Nikiwa katika moja ya makongamano na semina za Vijana nilikutana nakesi ya binti mmoja aliyenifuata kwa ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo cha tamaa ya zinaa. Binafsi niliupenda sana moyo wake wa uwazi ambapo vijana wengi wanalukutika kutokana na kifungo cha SIRI. Hakuna kifungo kibaya kama kuwa na siri ya uovu- funguka usaidike na kuwekwa huru.
✍Binti huyu alidai kuwa alikuwa na Mahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja wa kiisilamu pamoja na kuachana huwa anatokewa na hisia Kali za zinaa Mara tu anapo mkumbuka huyo jamaa , anachokifanya anajifungia ndani Kama masaa matatu hadi sita anajichua au kujisaga sehemu za siri kwa kutumia uume bandia ( sex toy) aliyenunua dukani. Hii habari iliniumiza kusikia na binti huyu kuokoka lakini haya ndiyo yanayo mkuta. Na mwingine wa namba hiyo yeye hutumia godoro kujisugua kisha anapoteza fahamu kwa takribani nusu saa. Lakini baada ya kuomba nao sasa wapo huru kabisa kwa jina la YESU.
✍WITO:
Kadri tuendeleavyo na somo usisite kuniuliza swali juu ya changamoto yako ili tuone unatokaje hapo.
✍Ili uwekwe huru swala la uwazi na ukweli ndiyo ufunuo wakukutoa kwenye kifungo chochote kile. Nani nikuhakikishie mwisho wa somo hili wote watakao kuwa wamemanisha kutoka kwenye changamoto ya tamaa ya zinaa wote mtafunguliwa kwa jina la Yesu.
☘๐น☘๐น☘๐น☘๐น
3⃣. ZINAA INAFEDHEHESHA:
✍ huu ni ukweli kabisa kuwa mtu afanayaye zinaa hujidharirisha na kupata aibu au fedheha mbele ya jamii inayomzunguka .
❇Mithali 6:32-33
Inasema;
... wala fedheha yake haitafutika.๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Hii inogopesha,kuwa fedheha yake huwa haifutiki mbali na kusamehewa ๐ค๐ค๐ค๐ค.
USHAURI:
✍Jiheshimu wala usijirahisi kwa mvulana au binti ili tu akuoe au umuoe na Mbingu nazo zitakuheshimisha kwani alWewe ni wathamani sana machoni pa Mungu.
☘๐น☘๐น☘๐น
4⃣. ZINAA INAFUTA MAONO NA NDOTO ZA MTU.
✍mpendwa mwanangu ,zinaa humfanya mtu apoteze mwelekeo - vision katika maisha yake na kushindwa kutimiza ndoto - yaani malengo katika maisha yake.
Hebu kumbuka maisha ya Yusufu,
✍Mwanzo 39:7
Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia , lala nami.
❇ Yusufu alikataa kulala na mke wa Farao boss wake Leo hii tungesema mke wa raisi, ambalo kwa vijana wengi Leo wangesema kuota dodo chini ya mparachichi. Yusufu akasema, Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi , wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe umkewe. Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkose Mungu? Mwanzo 39:9
๐ค hili ni darasa na shule tunaipata kwa Yusufu , kuwa alikuwa mtu mwenye maono na ndoto. Hivyo hakuwa tayari kujichafua na kumkosea Mungu wake kwa zinaa na mke wa boss wake.
❇Ukijua umebeba nini kwa ajili ya Mungu utajitunza.
๐๐ปKuna kundi kubwa la vijana Leo wanalia vilio visivyo na machozi kisa walitawaliwa na roho ya zinaa, Leo wamepoteza mwelekeo kwani WAPO NJIA PANDA.
๐น☘๐น☘☘๐น๐น
5⃣. ZINAA HUMWONDELEA MTU UJASIRI WA KUKEMEA DHAMBI.
✍Mtu afanyapo zinaa kukosa kabisa ule ujasiri mbele za Mungu na mbele za mwanadamu.
๐คHii ni kwa sababu moyo wake
umejaa hukumu dhidi ya ile dhambi.
❇1Yohana 3:21-22
✍Mapenzi ,mioyo yetu isipotuhukumu ,tuna ujasiri kwa Mungu; na lolote tuombalo ,twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kutenda yampendezayo machoni pake.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
6⃣. ZINAA HULETA MUUNGANIKO WA NAFSI ( SOUL TIE ).
Mwanangu tambua kuwa tendo la zinaa ni AGANO; hivyo huwaunganisha nafsi- yaani akili, nia, hisia, utashi, fikra, dhana na ufahamu ) za watu wawili na kuwa mwili mmoja. Hiki huwa ni kifungo kibaya sana na kimetesa na kinaendelea kuwatesa watu wengi sana; na wengi wao hawajui cha kufanya kwani watumia akili na nguvu zao kkujinasua imeshindikana kabisa.
♻habari njema kwako inawezekana kabisa kufunguliwa kutoka kwenye kifungo hicho cha muunganiko wa nafsi.๐ธ
๐คNdiyo maana sasa unaweza kukuta mtu ameokoka lakini kabla ya kuokoka alikuwa na mpenzi wake waliokuwa wakifanya naye zinaa, utashangaa wengine hushindwa kuachana na huwa wana endelea na maisha yao ya uzinifu na kanisani anaingia. Hii huwa ni kwa sababu hajafunguliwa kifungo cha muunganiko wa nafsi.
❇KUMBUKA; agano siyo mkataba. Agano huwa halivunjwi , gharama ya kuvunja agano ni kifo. Ndiyo maana sasa Yesu anajiita yeye ni mjumbe wa agano lililo bora.
Na agano linasomba vizazi na vizazi.
1Kor. 6:16
✍Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, wale wawili watakuwa mwili mmoja.
๐คUSHAURI:
Usiendelee na Mahusiano mapya kabla ya kuvunja maagano ya muunganiko wa nafsi, bila kufanya hiyo utakuja kuyatesa maisha yako ya Mahusiano na hata kama utaolewa au kuoa itatesa ndoa yako.
๐ธKwa maelezo , ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo hicho tuwasiliane.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
7⃣ ZINAA HUKIINGIZA KIZAZI CHAKO KWENYE VIFUNGO.
๐คLeo hii kuna watu wengi wanapata mateso amalbayo kimsingi wao siyo wahusika kabisa kwa maana ya kusababisha Bali wamesababishiwa na kujikuta wako kwenye mazingira magumu na hawajui wanayokaje.
๐ธHii yote ni kwa sababu ya misingi iliyowabeba ilikuwa mibovu .
✍Maombolezo 5:7 Baba zetu walitenda dhambi hata hawako, Na sisi tumeyachukua maovu yako.
✍ Zaburi 61:5; Saudi anasema, Tazama , mimi naliumbwa katika hali ya uovu; mama yangu alinichukua mimba hatiyani.
♻Utakuja kugundua anguko la Ufalme Daudi na mke wa Uria 2Sam.11:1-5; 12:9-14 ili kuwa ni sababu ya misingi mibovu ya bibi yake RAHABU yule kahaba, Mathayo 1:1-17
๐ค Daudi alitafuta kujua shida ni nini ndipo anakuja kutambua kuwa misingi yake iliyo mbeba au mlango uliompitisha ni mbovu. Zaburi 51 yote.
NJIA pekee ya kutoka kwenye misingi mibovu ni toba ya kweli na maombi ya utakaso dhidi ya mambo ya siri. Zaburi 19:12
๐๐ป Hii ina umiza sana kuteseka kwa makosa na dhambi na maovu ya watu wengine.
☘ Ukitubu Mungu atakusamehe ila atakisubiri kizazi chako kwa ajili ya malipizi. Utashangaa watoto wanapamabana nahali Fulani bila kujua ni msingi waliupokea kwa wazazi. Bila kupata maarifa haya unakuta MTU unateseka bila kupata msaada.
♻ Lengo kuu la ujumbe huu ili kile kikicho muua baba / mama yako kisikuuwe na wewe.
๐น☘๐น☘
๐น
8⃣ ZINAA HUAMBUKIZA MAGONJWA.
✍Leo hii wapo watu wengi wanalia maana afya zao ni mgogoro kwa sababu ya maambikizi ya magonjwa yatokanayo na kufanya zinaa na mtu mwenye maambukizi .
๐๐ป mfano wa magonjwa haya ni UKIMWI, kaswende, Gonorea, fangasi , n.k
❇ Matokeo ya ya maambuzi haya klyatakanayo na zinaa ni kuua na kuzima ndoto za MTU kabisa.
๐ค Niukweli usiyokanushika kuwa afya ikiharibika hata kama ilikuwa na malengo mazuri kiasi gani utakwama tu kwani utatumia muda mwingi kushughulikia afya yako.
๐๐ป Kumbuka nyuma ya roho ya magonjwa kuna roho ya umasikini na ufukara pamoja na mufirisi.๐ค๐ค
๐คUshauri:
๐ทUsifanye zinaa kwani haina faida yoyote zaidi ya hasara nyingi zisizo na idadi.
๐ทhakuna taji kwa wafanya zinaa zaidi ya adhabu na ghadhabu ya Mungu.
❤☘๐น๐น☘๐น❤
9⃣ ZINAA NI MLANGO WA MAPEPO KWA MTU.
✍Kwa kuwa zinaa ni tendo linalounganisha watu wawili kiakili, kihisia, kiroho na kimwili; basi upo uwezekano mkubwa sana wa mmoja aliye na roho chafu kumwingia mwingine kama vile tu mtu anavyo weza kupata maambukizi mengine ya magonjwa, hata mapepo vivyo hivyo.
☘ Ushauri:
๐Nikuombe sana mwana wa Mungu, ujitunze , umtii Mungu na ujae
moyoni ili usije ukampa nafasi ibilisi.
☘ Jihadhari sana na tamaa ya zinaa ilinusije ukawa Makao ya mapepo na majini na kupelekea kuharibu hatima yako.
๐คKupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.
๐ทAmua Leo chukua hatua za makusudi kuikimbia zinaa.
๐น❤๐น❤☘๐ท๐น☘❤
๐ ZINAA INAUA KIROHO NA KIMWLI.
✍Huu ni ukweli usiyo pingika kuwa zinaa inaweza kusababisha mauti ya kiroho na mwili.
๐คUpo ushahidi wa kibiblia na wa ujuzi katika jamii zetu.
Tazama Mwanzo 18 na 19 kwa habari ya sodoma na Gomora ziliteketezwa kwa moto .
✍kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.๐คท♂๐คท♂๐คท♂
✍ikimbie kabisa zinaa wala isitajwe kwako.
๐น❤๐น❤๐น❤☘๐น❤☘๐น
๐นHaleluya wana wa Mungu mpendwao sana. Leo tuangalie dhara la 11 mwisho katika somo letu la madhara ya kufanya zinaa.
1⃣1⃣ ZINAA INAWEZA KUKUFANYA USIURITHI UFALME WA MUNGU.
๐ธWagalatia 5:19-21
✍ Zinaa itakupelekea kufutwa kwenye ufalme wa Mungu; jambo hili linatisha sana. ๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Ni heri ukose vyote hapa duniani kuliko kuvipita vyote kisha ukaukosa ufalme wa Mungu ambao ndiyo kusudi la sisi kuumbwa na Yesu kuja kufa msalabani kisha kufufuka .
๐บWito kwa wana wa Mungu;
✍Jitunze sana na usafishe kituo chako kiwe kitakatifu ili Mungu asije akaona kitu kisicho safi akageuka na kukuacha.
K/Torati 23:14.
✍ Ni bora kuachwa na mchumba wako kuliko kuachwa na Mungu.
๐ธNikutakie Ushindi mkuu katika Eneo lako la Mahusiano na NDOA.
❤By pastor Songwa Kazi.
☘0757-567899
☘whasap:0719-968160
*** Mwisho***
๐น๐น๐น
๐น๐น๐น♻ MADA: MADHARA YA ZINAA AU NGONO KABLA YA NDOA NA JINSI YA KUFUNGULIWA KUTOKA KWENYE VIFUNGO HIVYO.♻
✍ Nalileta somo hili kwenu kwa sababu ni nawapenda pili sitaki hata mmoja wenu aangamizwe kwa kukosa maarifa au elimu hii ya Mahusiano .
❇UTANGULIZI:
Hebu tuanagalie kwa ufupi nini hasa maana ya zinaa?
✍Zinaa: Nitamaa mbaya ya kufanya tendo la ndoa.
๐คTendo la ndoa siyo dhambi pale likifanywa na wana ndoa kwani hapo ndipo haswaaa lilipo kusudiwa kufanyika na si penginepo. Tendoa la ndoa kutakuwa dhambi nikifanyika nje ya ndoa.
๐ Usisahau dhambi ni kazi ,na kila afanyaye kazi lazima alipwe mshahara wake mwisho wa kazi hiyo.
๐คMshahara wa dhambi ni mauti. Warumi 6:23.
๐๐ปMiongoni mwa dhambi za uchafu na zinazo mkasirisha Mungu zilizo beba uovu na nguvu ya mapatilizo-yaani kisasi na malipizi ni dhambi ya uchawi, uuaji na zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀
✍Wapo wengine husema kuwa tufanye dhambi ya zinaa kisha tutatubu tu. Hebu kabla ya kutenda dhambi au kuwaza toba , angalia kwanza gharama ya dhambi kufanyika; Biblia inasemaje kuhusu dhambi hiyo na toba yake.
✍Upo ushahidi wa kibiblia na kibinadamu juu ya nguvu ya dhambi ya zinaa , hasara zake na matokeo yake mabaya katika maisha ya mtu.
๐ญ๐ญ
๐ธUshuhuda wa tukio la Jana 31-10-2017 tu hapo mitaa ya kizuiani, Dar; Kijana mmoja Malaya alikutwa amekufa ndani ya chumba alichokuwa anafanya zinaa na kahaba mmoja.๐ญ๐ญ๐ญ
Hii inasikitisha sana. Nakuonea shauku sana mwanangu unaye pokea hekima hizi amabazo wengi wamezikosa kabisa.
Lakini nakuhurumia na kukusikitikia Kama utayapuuza maarifa na maonyo haya maana yatakuwa kama mshitaki wako pale utakapo yaasi na kuyaacha.๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ
✍Nguvu ya dhambi na hasara zake katika maisha ya kiroho na kimwili ndiyo ilisababisha hata makanisa na wachungaji kuweka sheria na utaratibu mkali wa kutoka adhabu ya kusimamishwa huduma, kutengwa kwa kipindi Fulani au kufukuzwa kabisa kwenye ushirika kwa watu wanaoingia kwenye shimo la dhambi hii ya zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ
✍Hivyo sasa nitakuletea madhara ya zinaa yasiyopungua kumi na moja ( 11 ) katika mfululizo wa somo hili lakini pia nitakuelekeza jinsi yakutoka kwenye kifungo hicho kwa aliye naswa nacho na jinsi ya kuepuka ili usinase............
Ubarikiwe Sana kwa utakaye fuatilia somo hili.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
Sasa❤❤❤ Shalom wana wa Mungu, hebu Leo tuendelee na mfululizo wa somo letu la madhara ya zinaa......
1⃣ ZINAA INAUA UTU WA NDANI ( NAFSI).
✍Roho ya MTU itastahimili udhaifu wake, Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?
♻Mithali 18:14.
✍ Zinaa inajeruhi utu wa ndani -yaani nafsi ambayo kimsingi nafsi ni wewe.
❇Somo la nafsi ni pana sana , kwani vifungo vya watu wengi vipo kwenye nafsi.
✍Kwa kifupi MTU ni roho mwenye nafsi inayoishi kwenye nyumba ya udongo ambayo ni mwili. Hivyo sasa, ROHO+ NAFSI+ MWILI= MTU.
๐คMtu hafi kwa sababu yeye ni roho kamili.
✍ROHO ndiyo ile pumzi ya Mungu na kimsingi ndiyo inayookoka.
✍NAFSI ndiyo huyo mtu mwenye , kwenye nafsi kuna: Akili, hisia, nia, utashi, fikra, ufahamu na dhana.
๐๐ shetani akifanikiwa kuifunga nafsi yako amekumaliza , kwani mafanikio na ustawi hapa duniani hutegemea Uhuru tulionao kwenye nafsi. Nafsi ndiyo uwanja wa vita.
๐ค Nafsi ndiyo kiwanda cha uzalishaji na uchumba cha kufanyia maamuzi. ( functional falcuty )Sasa itategemea mzalishaji ni nani ? Mungu au shetani?!! Na bidhaa hizo huuletwa kwenye Mwili ili ziwafikie walengwa.
Kazi ya MTU mwili ni kuwasiliana na ulimwengu unaoonekana.
Kumbuka Mungu ni Roho kadhalika shetani naye ni roho hivyo wote wanahitaji mwili wako wautumie ili kufikisha bidhaa zao kwa mwanadamu- mlaji.
๐คNdiyo maana utaona kila kukicha Vijana wengi wanaharibikiwa kwa zinaa, ulevi , n.k kwa sababu shetani anahasira kubwa. Na silaha kubwa anayoitumia shetani kuwamaiza watu ni kuwapandikizia tamaa mbaya ya zinaa.
✍ Mtume Paulo ansema , IKIMBIENI ZINAA. 1Kor.6:18
Cha ajabu nikuwa ; mbali na kusamehewa dhambi zote zinaweza kufutika isipokuwa ya zinaa.
✍Mithali 6:32-33
☘๐ท☘☘๐ท☘๐ท
2⃣. ZINAA HUMVUNJIA MTU HESHIMA.
✍Huu ni ukweli usio pingika kuwa zinaa himwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii husika, hivyo humfanya kudharauliwa na kila mtu........biblia inasema ; atapata jeraha za kuvunjiwa heshima ; wala fedheha yake haitafutika. Mithali 6:32-33.
❇ KUMBUKA: Hakuna mtu anayetaka au anaye penda kudharauliwa ila unayo nafasi ya kuamua watu wakuheshimu au watu wakudharau.
๐คZinaa ni mchezo mchafu ambao humwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii, na hii huwapelekea sasa watu hao kutawaliwa na roho ya kukataliwa na mwisho wake huwa mbaya hasa wasiyo pata msaada wa haraka wa kiroho kwa sababu kimsingi hili ni tatizo la kiroho.
๐คWatu waliotawaliwa na roho ya zinaa wapo tayari kufanya zinaa popote na yeyote kwani dhamiri zao zimetiwa ganzi, haziwezi kupambanua jema au baya.
❇USHUHUDA:
✍Nikiwa katika moja ya makongamano na semina za Vijana nilikutana nakesi ya binti mmoja aliyenifuata kwa ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo cha tamaa ya zinaa. Binafsi niliupenda sana moyo wake wa uwazi ambapo vijana wengi wanalukutika kutokana na kifungo cha SIRI. Hakuna kifungo kibaya kama kuwa na siri ya uovu- funguka usaidike na kuwekwa huru.
✍Binti huyu alidai kuwa alikuwa na Mahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja wa kiisilamu pamoja na kuachana huwa anatokewa na hisia Kali za zinaa Mara tu anapo mkumbuka huyo jamaa , anachokifanya anajifungia ndani Kama masaa matatu hadi sita anajichua au kujisaga sehemu za siri kwa kutumia uume bandia ( sex toy) aliyenunua dukani. Hii habari iliniumiza kusikia na binti huyu kuokoka lakini haya ndiyo yanayo mkuta. Na mwingine wa namba hiyo yeye hutumia godoro kujisugua kisha anapoteza fahamu kwa takribani nusu saa. Lakini baada ya kuomba nao sasa wapo huru kabisa kwa jina la YESU.
✍WITO:
Kadri tuendeleavyo na somo usisite kuniuliza swali juu ya changamoto yako ili tuone unatokaje hapo.
✍Ili uwekwe huru swala la uwazi na ukweli ndiyo ufunuo wakukutoa kwenye kifungo chochote kile. Nani nikuhakikishie mwisho wa somo hili wote watakao kuwa wamemanisha kutoka kwenye changamoto ya tamaa ya zinaa wote mtafunguliwa kwa jina la Yesu.
☘๐น☘๐น☘๐น☘๐น
3⃣. ZINAA INAFEDHEHESHA:
✍ huu ni ukweli kabisa kuwa mtu afanayaye zinaa hujidharirisha na kupata aibu au fedheha mbele ya jamii inayomzunguka .
❇Mithali 6:32-33
Inasema;
... wala fedheha yake haitafutika.๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Hii inogopesha,kuwa fedheha yake huwa haifutiki mbali na kusamehewa ๐ค๐ค๐ค๐ค.
USHAURI:
✍Jiheshimu wala usijirahisi kwa mvulana au binti ili tu akuoe au umuoe na Mbingu nazo zitakuheshimisha kwani alWewe ni wathamani sana machoni pa Mungu.
☘๐น☘๐น☘๐น
4⃣. ZINAA INAFUTA MAONO NA NDOTO ZA MTU.
✍mpendwa mwanangu ,zinaa humfanya mtu apoteze mwelekeo - vision katika maisha yake na kushindwa kutimiza ndoto - yaani malengo katika maisha yake.
Hebu kumbuka maisha ya Yusufu,
✍Mwanzo 39:7
Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia , lala nami.
❇ Yusufu alikataa kulala na mke wa Farao boss wake Leo hii tungesema mke wa raisi, ambalo kwa vijana wengi Leo wangesema kuota dodo chini ya mparachichi. Yusufu akasema, Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi , wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe umkewe. Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkose Mungu? Mwanzo 39:9
๐ค hili ni darasa na shule tunaipata kwa Yusufu , kuwa alikuwa mtu mwenye maono na ndoto. Hivyo hakuwa tayari kujichafua na kumkosea Mungu wake kwa zinaa na mke wa boss wake.
❇Ukijua umebeba nini kwa ajili ya Mungu utajitunza.
๐๐ปKuna kundi kubwa la vijana Leo wanalia vilio visivyo na machozi kisa walitawaliwa na roho ya zinaa, Leo wamepoteza mwelekeo kwani WAPO NJIA PANDA.
๐น☘๐น☘☘๐น๐น
5⃣. ZINAA HUMWONDELEA MTU UJASIRI WA KUKEMEA DHAMBI.
✍Mtu afanyapo zinaa kukosa kabisa ule ujasiri mbele za Mungu na mbele za mwanadamu.
๐คHii ni kwa sababu moyo wake
umejaa hukumu dhidi ya ile dhambi.
❇1Yohana 3:21-22
✍Mapenzi ,mioyo yetu isipotuhukumu ,tuna ujasiri kwa Mungu; na lolote tuombalo ,twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kutenda yampendezayo machoni pake.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
6⃣. ZINAA HULETA MUUNGANIKO WA NAFSI ( SOUL TIE ).
Mwanangu tambua kuwa tendo la zinaa ni AGANO; hivyo huwaunganisha nafsi- yaani akili, nia, hisia, utashi, fikra, dhana na ufahamu ) za watu wawili na kuwa mwili mmoja. Hiki huwa ni kifungo kibaya sana na kimetesa na kinaendelea kuwatesa watu wengi sana; na wengi wao hawajui cha kufanya kwani watumia akili na nguvu zao kkujinasua imeshindikana kabisa.
♻habari njema kwako inawezekana kabisa kufunguliwa kutoka kwenye kifungo hicho cha muunganiko wa nafsi.๐ธ
๐คNdiyo maana sasa unaweza kukuta mtu ameokoka lakini kabla ya kuokoka alikuwa na mpenzi wake waliokuwa wakifanya naye zinaa, utashangaa wengine hushindwa kuachana na huwa wana endelea na maisha yao ya uzinifu na kanisani anaingia. Hii huwa ni kwa sababu hajafunguliwa kifungo cha muunganiko wa nafsi.
❇KUMBUKA; agano siyo mkataba. Agano huwa halivunjwi , gharama ya kuvunja agano ni kifo. Ndiyo maana sasa Yesu anajiita yeye ni mjumbe wa agano lililo bora.
Na agano linasomba vizazi na vizazi.
1Kor. 6:16
✍Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, wale wawili watakuwa mwili mmoja.
๐คUSHAURI:
Usiendelee na Mahusiano mapya kabla ya kuvunja maagano ya muunganiko wa nafsi, bila kufanya hiyo utakuja kuyatesa maisha yako ya Mahusiano na hata kama utaolewa au kuoa itatesa ndoa yako.
๐ธKwa maelezo , ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo hicho tuwasiliane.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
7⃣ ZINAA HUKIINGIZA KIZAZI CHAKO KWENYE VIFUNGO.
๐คLeo hii kuna watu wengi wanapata mateso amalbayo kimsingi wao siyo wahusika kabisa kwa maana ya kusababisha Bali wamesababishiwa na kujikuta wako kwenye mazingira magumu na hawajui wanayokaje.
๐ธHii yote ni kwa sababu ya misingi iliyowabeba ilikuwa mibovu .
✍Maombolezo 5:7 Baba zetu walitenda dhambi hata hawako, Na sisi tumeyachukua maovu yako.
✍ Zaburi 61:5; Saudi anasema, Tazama , mimi naliumbwa katika hali ya uovu; mama yangu alinichukua mimba hatiyani.
♻Utakuja kugundua anguko la Ufalme Daudi na mke wa Uria 2Sam.11:1-5; 12:9-14 ili kuwa ni sababu ya misingi mibovu ya bibi yake RAHABU yule kahaba, Mathayo 1:1-17
๐ค Daudi alitafuta kujua shida ni nini ndipo anakuja kutambua kuwa misingi yake iliyo mbeba au mlango uliompitisha ni mbovu. Zaburi 51 yote.
NJIA pekee ya kutoka kwenye misingi mibovu ni toba ya kweli na maombi ya utakaso dhidi ya mambo ya siri. Zaburi 19:12
๐๐ป Hii ina umiza sana kuteseka kwa makosa na dhambi na maovu ya watu wengine.
☘ Ukitubu Mungu atakusamehe ila atakisubiri kizazi chako kwa ajili ya malipizi. Utashangaa watoto wanapamabana nahali Fulani bila kujua ni msingi waliupokea kwa wazazi. Bila kupata maarifa haya unakuta MTU unateseka bila kupata msaada.
♻ Lengo kuu la ujumbe huu ili kile kikicho muua baba / mama yako kisikuuwe na wewe.
๐น☘๐น☘
๐น
8⃣ ZINAA HUAMBUKIZA MAGONJWA.
✍Leo hii wapo watu wengi wanalia maana afya zao ni mgogoro kwa sababu ya maambikizi ya magonjwa yatokanayo na kufanya zinaa na mtu mwenye maambukizi .
๐๐ป mfano wa magonjwa haya ni UKIMWI, kaswende, Gonorea, fangasi , n.k
❇ Matokeo ya ya maambuzi haya klyatakanayo na zinaa ni kuua na kuzima ndoto za MTU kabisa.
๐ค Niukweli usiyokanushika kuwa afya ikiharibika hata kama ilikuwa na malengo mazuri kiasi gani utakwama tu kwani utatumia muda mwingi kushughulikia afya yako.
๐๐ป Kumbuka nyuma ya roho ya magonjwa kuna roho ya umasikini na ufukara pamoja na mufirisi.๐ค๐ค
๐คUshauri:
๐ทUsifanye zinaa kwani haina faida yoyote zaidi ya hasara nyingi zisizo na idadi.
๐ทhakuna taji kwa wafanya zinaa zaidi ya adhabu na ghadhabu ya Mungu.
❤☘๐น๐น☘๐น❤
9⃣ ZINAA NI MLANGO WA MAPEPO KWA MTU.
✍Kwa kuwa zinaa ni tendo linalounganisha watu wawili kiakili, kihisia, kiroho na kimwili; basi upo uwezekano mkubwa sana wa mmoja aliye na roho chafu kumwingia mwingine kama vile tu mtu anavyo weza kupata maambukizi mengine ya magonjwa, hata mapepo vivyo hivyo.
☘ Ushauri:
๐Nikuombe sana mwana wa Mungu, ujitunze , umtii Mungu na ujae
moyoni ili usije ukampa nafasi ibilisi.
☘ Jihadhari sana na tamaa ya zinaa ilinusije ukawa Makao ya mapepo na majini na kupelekea kuharibu hatima yako.
๐คKupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.
๐ทAmua Leo chukua hatua za makusudi kuikimbia zinaa.
๐น❤๐น❤☘๐ท๐น☘❤
๐ ZINAA INAUA KIROHO NA KIMWLI.
✍Huu ni ukweli usiyo pingika kuwa zinaa inaweza kusababisha mauti ya kiroho na mwili.
๐คUpo ushahidi wa kibiblia na wa ujuzi katika jamii zetu.
Tazama Mwanzo 18 na 19 kwa habari ya sodoma na Gomora ziliteketezwa kwa moto .
✍kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.๐คท♂๐คท♂๐คท♂
✍ikimbie kabisa zinaa wala isitajwe kwako.
๐น❤๐น❤๐น❤☘๐น❤☘๐น
๐นHaleluya wana wa Mungu mpendwao sana. Leo tuangalie dhara la 11 mwisho katika somo letu la madhara ya kufanya zinaa.
1⃣1⃣ ZINAA INAWEZA KUKUFANYA USIURITHI UFALME WA MUNGU.
๐ธWagalatia 5:19-21
✍ Zinaa itakupelekea kufutwa kwenye ufalme wa Mungu; jambo hili linatisha sana. ๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Ni heri ukose vyote hapa duniani kuliko kuvipita vyote kisha ukaukosa ufalme wa Mungu ambao ndiyo kusudi la sisi kuumbwa na Yesu kuja kufa msalabani kisha kufufuka .
๐บWito kwa wana wa Mungu;
✍Jitunze sana na usafishe kituo chako kiwe kitakatifu ili Mungu asije akaona kitu kisicho safi akageuka na kukuacha.
K/Torati 23:14.
✍ Ni bora kuachwa na mchumba wako kuliko kuachwa na Mungu.
๐ธNikutakie Ushindi mkuu katika Eneo lako la Mahusiano na NDOA.
❤By pastor Songwa Kazi.
☘0757-567899
☘whasap:0719-968160
*** Mwisho***
๐น๐น๐น
๐น๐น๐น♻ MADA: MADHARA YA ZINAA AU NGONO KABLA YA NDOA NA JINSI YA KUFUNGULIWA KUTOKA KWENYE VIFUNGO HIVYO.♻
✍ Nalileta somo hili kwenu kwa sababu ni nawapenda pili sitaki hata mmoja wenu aangamizwe kwa kukosa maarifa au elimu hii ya Mahusiano .
❇UTANGULIZI:
Hebu tuanagalie kwa ufupi nini hasa maana ya zinaa?
✍Zinaa: Nitamaa mbaya ya kufanya tendo la ndoa.
๐คTendo la ndoa siyo dhambi pale likifanywa na wana ndoa kwani hapo ndipo haswaaa lilipo kusudiwa kufanyika na si penginepo. Tendoa la ndoa kutakuwa dhambi nikifanyika nje ya ndoa.
๐ Usisahau dhambi ni kazi ,na kila afanyaye kazi lazima alipwe mshahara wake mwisho wa kazi hiyo.
๐คMshahara wa dhambi ni mauti. Warumi 6:23.
๐๐ปMiongoni mwa dhambi za uchafu na zinazo mkasirisha Mungu zilizo beba uovu na nguvu ya mapatilizo-yaani kisasi na malipizi ni dhambi ya uchawi, uuaji na zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀
✍Wapo wengine husema kuwa tufanye dhambi ya zinaa kisha tutatubu tu. Hebu kabla ya kutenda dhambi au kuwaza toba , angalia kwanza gharama ya dhambi kufanyika; Biblia inasemaje kuhusu dhambi hiyo na toba yake.
✍Upo ushahidi wa kibiblia na kibinadamu juu ya nguvu ya dhambi ya zinaa , hasara zake na matokeo yake mabaya katika maisha ya mtu.
๐ญ๐ญ
๐ธUshuhuda wa tukio la Jana 31-10-2017 tu hapo mitaa ya kizuiani, Dar; Kijana mmoja Malaya alikutwa amekufa ndani ya chumba alichokuwa anafanya zinaa na kahaba mmoja.๐ญ๐ญ๐ญ
Hii inasikitisha sana. Nakuonea shauku sana mwanangu unaye pokea hekima hizi amabazo wengi wamezikosa kabisa.
Lakini nakuhurumia na kukusikitikia Kama utayapuuza maarifa na maonyo haya maana yatakuwa kama mshitaki wako pale utakapo yaasi na kuyaacha.๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ
✍Nguvu ya dhambi na hasara zake katika maisha ya kiroho na kimwili ndiyo ilisababisha hata makanisa na wachungaji kuweka sheria na utaratibu mkali wa kutoka adhabu ya kusimamishwa huduma, kutengwa kwa kipindi Fulani au kufukuzwa kabisa kwenye ushirika kwa watu wanaoingia kwenye shimo la dhambi hii ya zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ
✍Hivyo sasa nitakuletea madhara ya zinaa yasiyopungua kumi na moja ( 11 ) katika mfululizo wa somo hili lakini pia nitakuelekeza jinsi yakutoka kwenye kifungo hicho kwa aliye naswa nacho na jinsi ya kuepuka ili usinase............
Ubarikiwe Sana kwa utakaye fuatilia somo hili.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
Sasa❤❤❤ Shalom wana wa Mungu, hebu Leo tuendelee na mfululizo wa somo letu la madhara ya zinaa......
1⃣ ZINAA INAUA UTU WA NDANI ( NAFSI).
✍Roho ya MTU itastahimili udhaifu wake, Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?
♻Mithali 18:14.
✍ Zinaa inajeruhi utu wa ndani -yaani nafsi ambayo kimsingi nafsi ni wewe.
❇Somo la nafsi ni pana sana , kwani vifungo vya watu wengi vipo kwenye nafsi.
✍Kwa kifupi MTU ni roho mwenye nafsi inayoishi kwenye nyumba ya udongo ambayo ni mwili. Hivyo sasa, ROHO+ NAFSI+ MWILI= MTU.
๐คMtu hafi kwa sababu yeye ni roho kamili.
✍ROHO ndiyo ile pumzi ya Mungu na kimsingi ndiyo inayookoka.
✍NAFSI ndiyo huyo mtu mwenye , kwenye nafsi kuna: Akili, hisia, nia, utashi, fikra, ufahamu na dhana.
๐๐ shetani akifanikiwa kuifunga nafsi yako amekumaliza , kwani mafanikio na ustawi hapa duniani hutegemea Uhuru tulionao kwenye nafsi. Nafsi ndiyo uwanja wa vita.
๐ค Nafsi ndiyo kiwanda cha uzalishaji na uchumba cha kufanyia maamuzi. ( functional falcuty )Sasa itategemea mzalishaji ni nani ? Mungu au shetani?!! Na bidhaa hizo huuletwa kwenye Mwili ili ziwafikie walengwa.
Kazi ya MTU mwili ni kuwasiliana na ulimwengu unaoonekana.
Kumbuka Mungu ni Roho kadhalika shetani naye ni roho hivyo wote wanahitaji mwili wako wautumie ili kufikisha bidhaa zao kwa mwanadamu- mlaji.
๐คNdiyo maana utaona kila kukicha Vijana wengi wanaharibikiwa kwa zinaa, ulevi , n.k kwa sababu shetani anahasira kubwa. Na silaha kubwa anayoitumia shetani kuwamaiza watu ni kuwapandikizia tamaa mbaya ya zinaa.
✍ Mtume Paulo ansema , IKIMBIENI ZINAA. 1Kor.6:18
Cha ajabu nikuwa ; mbali na kusamehewa dhambi zote zinaweza kufutika isipokuwa ya zinaa.
✍Mithali 6:32-33
☘๐ท☘☘๐ท☘๐ท
2⃣. ZINAA HUMVUNJIA MTU HESHIMA.
✍Huu ni ukweli usio pingika kuwa zinaa himwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii husika, hivyo humfanya kudharauliwa na kila mtu........biblia inasema ; atapata jeraha za kuvunjiwa heshima ; wala fedheha yake haitafutika. Mithali 6:32-33.
❇ KUMBUKA: Hakuna mtu anayetaka au anaye penda kudharauliwa ila unayo nafasi ya kuamua watu wakuheshimu au watu wakudharau.
๐คZinaa ni mchezo mchafu ambao humwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii, na hii huwapelekea sasa watu hao kutawaliwa na roho ya kukataliwa na mwisho wake huwa mbaya hasa wasiyo pata msaada wa haraka wa kiroho kwa sababu kimsingi hili ni tatizo la kiroho.
๐คWatu waliotawaliwa na roho ya zinaa wapo tayari kufanya zinaa popote na yeyote kwani dhamiri zao zimetiwa ganzi, haziwezi kupambanua jema au baya.
❇USHUHUDA:
✍Nikiwa katika moja ya makongamano na semina za Vijana nilikutana nakesi ya binti mmoja aliyenifuata kwa ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo cha tamaa ya zinaa. Binafsi niliupenda sana moyo wake wa uwazi ambapo vijana wengi wanalukutika kutokana na kifungo cha SIRI. Hakuna kifungo kibaya kama kuwa na siri ya uovu- funguka usaidike na kuwekwa huru.
✍Binti huyu alidai kuwa alikuwa na Mahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja wa kiisilamu pamoja na kuachana huwa anatokewa na hisia Kali za zinaa Mara tu anapo mkumbuka huyo jamaa , anachokifanya anajifungia ndani Kama masaa matatu hadi sita anajichua au kujisaga sehemu za siri kwa kutumia uume bandia ( sex toy) aliyenunua dukani. Hii habari iliniumiza kusikia na binti huyu kuokoka lakini haya ndiyo yanayo mkuta. Na mwingine wa namba hiyo yeye hutumia godoro kujisugua kisha anapoteza fahamu kwa takribani nusu saa. Lakini baada ya kuomba nao sasa wapo huru kabisa kwa jina la YESU.
✍WITO:
Kadri tuendeleavyo na somo usisite kuniuliza swali juu ya changamoto yako ili tuone unatokaje hapo.
✍Ili uwekwe huru swala la uwazi na ukweli ndiyo ufunuo wakukutoa kwenye kifungo chochote kile. Nani nikuhakikishie mwisho wa somo hili wote watakao kuwa wamemanisha kutoka kwenye changamoto ya tamaa ya zinaa wote mtafunguliwa kwa jina la Yesu.
☘๐น☘๐น☘๐น☘๐น
3⃣. ZINAA INAFEDHEHESHA:
✍ huu ni ukweli kabisa kuwa mtu afanayaye zinaa hujidharirisha na kupata aibu au fedheha mbele ya jamii inayomzunguka .
❇Mithali 6:32-33
Inasema;
... wala fedheha yake haitafutika.๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Hii inogopesha,kuwa fedheha yake huwa haifutiki mbali na kusamehewa ๐ค๐ค๐ค๐ค.
USHAURI:
✍Jiheshimu wala usijirahisi kwa mvulana au binti ili tu akuoe au umuoe na Mbingu nazo zitakuheshimisha kwani alWewe ni wathamani sana machoni pa Mungu.
☘๐น☘๐น☘๐น
4⃣. ZINAA INAFUTA MAONO NA NDOTO ZA MTU.
✍mpendwa mwanangu ,zinaa humfanya mtu apoteze mwelekeo - vision katika maisha yake na kushindwa kutimiza ndoto - yaani malengo katika maisha yake.
Hebu kumbuka maisha ya Yusufu,
✍Mwanzo 39:7
Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia , lala nami.
❇ Yusufu alikataa kulala na mke wa Farao boss wake Leo hii tungesema mke wa raisi, ambalo kwa vijana wengi Leo wangesema kuota dodo chini ya mparachichi. Yusufu akasema, Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi , wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe umkewe. Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkose Mungu? Mwanzo 39:9
๐ค hili ni darasa na shule tunaipata kwa Yusufu , kuwa alikuwa mtu mwenye maono na ndoto. Hivyo hakuwa tayari kujichafua na kumkosea Mungu wake kwa zinaa na mke wa boss wake.
❇Ukijua umebeba nini kwa ajili ya Mungu utajitunza.
๐๐ปKuna kundi kubwa la vijana Leo wanalia vilio visivyo na machozi kisa walitawaliwa na roho ya zinaa, Leo wamepoteza mwelekeo kwani WAPO NJIA PANDA.
๐น☘๐น☘☘๐น๐น
5⃣. ZINAA HUMWONDELEA MTU UJASIRI WA KUKEMEA DHAMBI.
✍Mtu afanyapo zinaa kukosa kabisa ule ujasiri mbele za Mungu na mbele za mwanadamu.
๐คHii ni kwa sababu moyo wake
umejaa hukumu dhidi ya ile dhambi.
❇1Yohana 3:21-22
✍Mapenzi ,mioyo yetu isipotuhukumu ,tuna ujasiri kwa Mungu; na lolote tuombalo ,twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kutenda yampendezayo machoni pake.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
6⃣. ZINAA HULETA MUUNGANIKO WA NAFSI ( SOUL TIE ).
Mwanangu tambua kuwa tendo la zinaa ni AGANO; hivyo huwaunganisha nafsi- yaani akili, nia, hisia, utashi, fikra, dhana na ufahamu ) za watu wawili na kuwa mwili mmoja. Hiki huwa ni kifungo kibaya sana na kimetesa na kinaendelea kuwatesa watu wengi sana; na wengi wao hawajui cha kufanya kwani watumia akili na nguvu zao kkujinasua imeshindikana kabisa.
♻habari njema kwako inawezekana kabisa kufunguliwa kutoka kwenye kifungo hicho cha muunganiko wa nafsi.๐ธ
๐คNdiyo maana sasa unaweza kukuta mtu ameokoka lakini kabla ya kuokoka alikuwa na mpenzi wake waliokuwa wakifanya naye zinaa, utashangaa wengine hushindwa kuachana na huwa wana endelea na maisha yao ya uzinifu na kanisani anaingia. Hii huwa ni kwa sababu hajafunguliwa kifungo cha muunganiko wa nafsi.
❇KUMBUKA; agano siyo mkataba. Agano huwa halivunjwi , gharama ya kuvunja agano ni kifo. Ndiyo maana sasa Yesu anajiita yeye ni mjumbe wa agano lililo bora.
Na agano linasomba vizazi na vizazi.
1Kor. 6:16
✍Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, wale wawili watakuwa mwili mmoja.
๐คUSHAURI:
Usiendelee na Mahusiano mapya kabla ya kuvunja maagano ya muunganiko wa nafsi, bila kufanya hiyo utakuja kuyatesa maisha yako ya Mahusiano na hata kama utaolewa au kuoa itatesa ndoa yako.
๐ธKwa maelezo , ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo hicho tuwasiliane.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
7⃣ ZINAA HUKIINGIZA KIZAZI CHAKO KWENYE VIFUNGO.
๐คLeo hii kuna watu wengi wanapata mateso amalbayo kimsingi wao siyo wahusika kabisa kwa maana ya kusababisha Bali wamesababishiwa na kujikuta wako kwenye mazingira magumu na hawajui wanayokaje.
๐ธHii yote ni kwa sababu ya misingi iliyowabeba ilikuwa mibovu .
✍Maombolezo 5:7 Baba zetu walitenda dhambi hata hawako, Na sisi tumeyachukua maovu yako.
✍ Zaburi 61:5; Saudi anasema, Tazama , mimi naliumbwa katika hali ya uovu; mama yangu alinichukua mimba hatiyani.
♻Utakuja kugundua anguko la Ufalme Daudi na mke wa Uria 2Sam.11:1-5; 12:9-14 ili kuwa ni sababu ya misingi mibovu ya bibi yake RAHABU yule kahaba, Mathayo 1:1-17
๐ค Daudi alitafuta kujua shida ni nini ndipo anakuja kutambua kuwa misingi yake iliyo mbeba au mlango uliompitisha ni mbovu. Zaburi 51 yote.
NJIA pekee ya kutoka kwenye misingi mibovu ni toba ya kweli na maombi ya utakaso dhidi ya mambo ya siri. Zaburi 19:12
๐๐ป Hii ina umiza sana kuteseka kwa makosa na dhambi na maovu ya watu wengine.
☘ Ukitubu Mungu atakusamehe ila atakisubiri kizazi chako kwa ajili ya malipizi. Utashangaa watoto wanapamabana nahali Fulani bila kujua ni msingi waliupokea kwa wazazi. Bila kupata maarifa haya unakuta MTU unateseka bila kupata msaada.
♻ Lengo kuu la ujumbe huu ili kile kikicho muua baba / mama yako kisikuuwe na wewe.
๐น☘๐น☘
๐น
8⃣ ZINAA HUAMBUKIZA MAGONJWA.
✍Leo hii wapo watu wengi wanalia maana afya zao ni mgogoro kwa sababu ya maambikizi ya magonjwa yatokanayo na kufanya zinaa na mtu mwenye maambukizi .
๐๐ป mfano wa magonjwa haya ni UKIMWI, kaswende, Gonorea, fangasi , n.k
❇ Matokeo ya ya maambuzi haya klyatakanayo na zinaa ni kuua na kuzima ndoto za MTU kabisa.
๐ค Niukweli usiyokanushika kuwa afya ikiharibika hata kama ilikuwa na malengo mazuri kiasi gani utakwama tu kwani utatumia muda mwingi kushughulikia afya yako.
๐๐ป Kumbuka nyuma ya roho ya magonjwa kuna roho ya umasikini na ufukara pamoja na mufirisi.๐ค๐ค
๐คUshauri:
๐ทUsifanye zinaa kwani haina faida yoyote zaidi ya hasara nyingi zisizo na idadi.
๐ทhakuna taji kwa wafanya zinaa zaidi ya adhabu na ghadhabu ya Mungu.
❤☘๐น๐น☘๐น❤
9⃣ ZINAA NI MLANGO WA MAPEPO KWA MTU.
✍Kwa kuwa zinaa ni tendo linalounganisha watu wawili kiakili, kihisia, kiroho na kimwili; basi upo uwezekano mkubwa sana wa mmoja aliye na roho chafu kumwingia mwingine kama vile tu mtu anavyo weza kupata maambukizi mengine ya magonjwa, hata mapepo vivyo hivyo.
☘ Ushauri:
๐Nikuombe sana mwana wa Mungu, ujitunze , umtii Mungu na ujae
moyoni ili usije ukampa nafasi ibilisi.
☘ Jihadhari sana na tamaa ya zinaa ilinusije ukawa Makao ya mapepo na majini na kupelekea kuharibu hatima yako.
๐คKupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.
๐ทAmua Leo chukua hatua za makusudi kuikimbia zinaa.
๐น❤๐น❤☘๐ท๐น☘❤
๐ ZINAA INAUA KIROHO NA KIMWLI.
✍Huu ni ukweli usiyo pingika kuwa zinaa inaweza kusababisha mauti ya kiroho na mwili.
๐คUpo ushahidi wa kibiblia na wa ujuzi katika jamii zetu.
Tazama Mwanzo 18 na 19 kwa habari ya sodoma na Gomora ziliteketezwa kwa moto .
✍kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.๐คท♂๐คท♂๐คท♂
✍ikimbie kabisa zinaa wala isitajwe kwako.
๐น❤๐น❤๐น❤☘๐น❤☘๐น
๐นHaleluya wana wa Mungu mpendwao sana. Leo tuangalie dhara la 11 mwisho katika somo letu la madhara ya kufanya zinaa.
1⃣1⃣ ZINAA INAWEZA KUKUFANYA USIURITHI UFALME WA MUNGU.
๐ธWagalatia 5:19-21
✍ Zinaa itakupelekea kufutwa kwenye ufalme wa Mungu; jambo hili linatisha sana. ๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Ni heri ukose vyote hapa duniani kuliko kuvipita vyote kisha ukaukosa ufalme wa Mungu ambao ndiyo kusudi la sisi kuumbwa na Yesu kuja kufa msalabani kisha kufufuka .
๐บWito kwa wana wa Mungu;
✍Jitunze sana na usafishe kituo chako kiwe kitakatifu ili Mungu asije akaona kitu kisicho safi akageuka na kukuacha.
K/Torati 23:14.
✍ Ni bora kuachwa na mchumba wako kuliko kuachwa na Mungu.
๐ธNikutakie Ushindi mkuu katika Eneo lako la Mahusiano na NDOA.
❤By pastor Songwa Kazi.
☘0757-567899
☘whasap:0719-968160
*** Mwisho***
๐น๐น๐น
๐น๐น๐น♻ MADA: MADHARA YA ZINAA AU NGONO KABLA YA NDOA NA JINSI YA KUFUNGULIWA KUTOKA KWENYE VIFUNGO HIVYO.♻
✍ Nalileta somo hili kwenu kwa sababu ni nawapenda pili sitaki hata mmoja wenu aangamizwe kwa kukosa maarifa au elimu hii ya Mahusiano .
❇UTANGULIZI:
Hebu tuanagalie kwa ufupi nini hasa maana ya zinaa?
✍Zinaa: Nitamaa mbaya ya kufanya tendo la ndoa.
๐คTendo la ndoa siyo dhambi pale likifanywa na wana ndoa kwani hapo ndipo haswaaa lilipo kusudiwa kufanyika na si penginepo. Tendoa la ndoa kutakuwa dhambi nikifanyika nje ya ndoa.
๐ Usisahau dhambi ni kazi ,na kila afanyaye kazi lazima alipwe mshahara wake mwisho wa kazi hiyo.
๐คMshahara wa dhambi ni mauti. Warumi 6:23.
๐๐ปMiongoni mwa dhambi za uchafu na zinazo mkasirisha Mungu zilizo beba uovu na nguvu ya mapatilizo-yaani kisasi na malipizi ni dhambi ya uchawi, uuaji na zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀
✍Wapo wengine husema kuwa tufanye dhambi ya zinaa kisha tutatubu tu. Hebu kabla ya kutenda dhambi au kuwaza toba , angalia kwanza gharama ya dhambi kufanyika; Biblia inasemaje kuhusu dhambi hiyo na toba yake.
✍Upo ushahidi wa kibiblia na kibinadamu juu ya nguvu ya dhambi ya zinaa , hasara zake na matokeo yake mabaya katika maisha ya mtu.
๐ญ๐ญ
๐ธUshuhuda wa tukio la Jana 31-10-2017 tu hapo mitaa ya kizuiani, Dar; Kijana mmoja Malaya alikutwa amekufa ndani ya chumba alichokuwa anafanya zinaa na kahaba mmoja.๐ญ๐ญ๐ญ
Hii inasikitisha sana. Nakuonea shauku sana mwanangu unaye pokea hekima hizi amabazo wengi wamezikosa kabisa.
Lakini nakuhurumia na kukusikitikia Kama utayapuuza maarifa na maonyo haya maana yatakuwa kama mshitaki wako pale utakapo yaasi na kuyaacha.๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ
✍Nguvu ya dhambi na hasara zake katika maisha ya kiroho na kimwili ndiyo ilisababisha hata makanisa na wachungaji kuweka sheria na utaratibu mkali wa kutoka adhabu ya kusimamishwa huduma, kutengwa kwa kipindi Fulani au kufukuzwa kabisa kwenye ushirika kwa watu wanaoingia kwenye shimo la dhambi hii ya zinaa.๐๐ฝ♀๐๐ฝ♀๐๐ฝ
✍Hivyo sasa nitakuletea madhara ya zinaa yasiyopungua kumi na moja ( 11 ) katika mfululizo wa somo hili lakini pia nitakuelekeza jinsi yakutoka kwenye kifungo hicho kwa aliye naswa nacho na jinsi ya kuepuka ili usinase............
Ubarikiwe Sana kwa utakaye fuatilia somo hili.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
Sasa❤❤❤ Shalom wana wa Mungu, hebu Leo tuendelee na mfululizo wa somo letu la madhara ya zinaa......
1⃣ ZINAA INAUA UTU WA NDANI ( NAFSI).
✍Roho ya MTU itastahimili udhaifu wake, Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?
♻Mithali 18:14.
✍ Zinaa inajeruhi utu wa ndani -yaani nafsi ambayo kimsingi nafsi ni wewe.
❇Somo la nafsi ni pana sana , kwani vifungo vya watu wengi vipo kwenye nafsi.
✍Kwa kifupi MTU ni roho mwenye nafsi inayoishi kwenye nyumba ya udongo ambayo ni mwili. Hivyo sasa, ROHO+ NAFSI+ MWILI= MTU.
๐คMtu hafi kwa sababu yeye ni roho kamili.
✍ROHO ndiyo ile pumzi ya Mungu na kimsingi ndiyo inayookoka.
✍NAFSI ndiyo huyo mtu mwenye , kwenye nafsi kuna: Akili, hisia, nia, utashi, fikra, ufahamu na dhana.
๐๐ shetani akifanikiwa kuifunga nafsi yako amekumaliza , kwani mafanikio na ustawi hapa duniani hutegemea Uhuru tulionao kwenye nafsi. Nafsi ndiyo uwanja wa vita.
๐ค Nafsi ndiyo kiwanda cha uzalishaji na uchumba cha kufanyia maamuzi. ( functional falcuty )Sasa itategemea mzalishaji ni nani ? Mungu au shetani?!! Na bidhaa hizo huuletwa kwenye Mwili ili ziwafikie walengwa.
Kazi ya MTU mwili ni kuwasiliana na ulimwengu unaoonekana.
Kumbuka Mungu ni Roho kadhalika shetani naye ni roho hivyo wote wanahitaji mwili wako wautumie ili kufikisha bidhaa zao kwa mwanadamu- mlaji.
๐คNdiyo maana utaona kila kukicha Vijana wengi wanaharibikiwa kwa zinaa, ulevi , n.k kwa sababu shetani anahasira kubwa. Na silaha kubwa anayoitumia shetani kuwamaiza watu ni kuwapandikizia tamaa mbaya ya zinaa.
✍ Mtume Paulo ansema , IKIMBIENI ZINAA. 1Kor.6:18
Cha ajabu nikuwa ; mbali na kusamehewa dhambi zote zinaweza kufutika isipokuwa ya zinaa.
✍Mithali 6:32-33
☘๐ท☘☘๐ท☘๐ท
2⃣. ZINAA HUMVUNJIA MTU HESHIMA.
✍Huu ni ukweli usio pingika kuwa zinaa himwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii husika, hivyo humfanya kudharauliwa na kila mtu........biblia inasema ; atapata jeraha za kuvunjiwa heshima ; wala fedheha yake haitafutika. Mithali 6:32-33.
❇ KUMBUKA: Hakuna mtu anayetaka au anaye penda kudharauliwa ila unayo nafasi ya kuamua watu wakuheshimu au watu wakudharau.
๐คZinaa ni mchezo mchafu ambao humwondolea mtu heshima yake mbele ya jamii, na hii huwapelekea sasa watu hao kutawaliwa na roho ya kukataliwa na mwisho wake huwa mbaya hasa wasiyo pata msaada wa haraka wa kiroho kwa sababu kimsingi hili ni tatizo la kiroho.
๐คWatu waliotawaliwa na roho ya zinaa wapo tayari kufanya zinaa popote na yeyote kwani dhamiri zao zimetiwa ganzi, haziwezi kupambanua jema au baya.
❇USHUHUDA:
✍Nikiwa katika moja ya makongamano na semina za Vijana nilikutana nakesi ya binti mmoja aliyenifuata kwa ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo cha tamaa ya zinaa. Binafsi niliupenda sana moyo wake wa uwazi ambapo vijana wengi wanalukutika kutokana na kifungo cha SIRI. Hakuna kifungo kibaya kama kuwa na siri ya uovu- funguka usaidike na kuwekwa huru.
✍Binti huyu alidai kuwa alikuwa na Mahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja wa kiisilamu pamoja na kuachana huwa anatokewa na hisia Kali za zinaa Mara tu anapo mkumbuka huyo jamaa , anachokifanya anajifungia ndani Kama masaa matatu hadi sita anajichua au kujisaga sehemu za siri kwa kutumia uume bandia ( sex toy) aliyenunua dukani. Hii habari iliniumiza kusikia na binti huyu kuokoka lakini haya ndiyo yanayo mkuta. Na mwingine wa namba hiyo yeye hutumia godoro kujisugua kisha anapoteza fahamu kwa takribani nusu saa. Lakini baada ya kuomba nao sasa wapo huru kabisa kwa jina la YESU.
✍WITO:
Kadri tuendeleavyo na somo usisite kuniuliza swali juu ya changamoto yako ili tuone unatokaje hapo.
✍Ili uwekwe huru swala la uwazi na ukweli ndiyo ufunuo wakukutoa kwenye kifungo chochote kile. Nani nikuhakikishie mwisho wa somo hili wote watakao kuwa wamemanisha kutoka kwenye changamoto ya tamaa ya zinaa wote mtafunguliwa kwa jina la Yesu.
☘๐น☘๐น☘๐น☘๐น
3⃣. ZINAA INAFEDHEHESHA:
✍ huu ni ukweli kabisa kuwa mtu afanayaye zinaa hujidharirisha na kupata aibu au fedheha mbele ya jamii inayomzunguka .
❇Mithali 6:32-33
Inasema;
... wala fedheha yake haitafutika.๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Hii inogopesha,kuwa fedheha yake huwa haifutiki mbali na kusamehewa ๐ค๐ค๐ค๐ค.
USHAURI:
✍Jiheshimu wala usijirahisi kwa mvulana au binti ili tu akuoe au umuoe na Mbingu nazo zitakuheshimisha kwani alWewe ni wathamani sana machoni pa Mungu.
☘๐น☘๐น☘๐น
4⃣. ZINAA INAFUTA MAONO NA NDOTO ZA MTU.
✍mpendwa mwanangu ,zinaa humfanya mtu apoteze mwelekeo - vision katika maisha yake na kushindwa kutimiza ndoto - yaani malengo katika maisha yake.
Hebu kumbuka maisha ya Yusufu,
✍Mwanzo 39:7
Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia , lala nami.
❇ Yusufu alikataa kulala na mke wa Farao boss wake Leo hii tungesema mke wa raisi, ambalo kwa vijana wengi Leo wangesema kuota dodo chini ya mparachichi. Yusufu akasema, Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi , wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe umkewe. Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkose Mungu? Mwanzo 39:9
๐ค hili ni darasa na shule tunaipata kwa Yusufu , kuwa alikuwa mtu mwenye maono na ndoto. Hivyo hakuwa tayari kujichafua na kumkosea Mungu wake kwa zinaa na mke wa boss wake.
❇Ukijua umebeba nini kwa ajili ya Mungu utajitunza.
๐๐ปKuna kundi kubwa la vijana Leo wanalia vilio visivyo na machozi kisa walitawaliwa na roho ya zinaa, Leo wamepoteza mwelekeo kwani WAPO NJIA PANDA.
๐น☘๐น☘☘๐น๐น
5⃣. ZINAA HUMWONDELEA MTU UJASIRI WA KUKEMEA DHAMBI.
✍Mtu afanyapo zinaa kukosa kabisa ule ujasiri mbele za Mungu na mbele za mwanadamu.
๐คHii ni kwa sababu moyo wake
umejaa hukumu dhidi ya ile dhambi.
❇1Yohana 3:21-22
✍Mapenzi ,mioyo yetu isipotuhukumu ,tuna ujasiri kwa Mungu; na lolote tuombalo ,twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kutenda yampendezayo machoni pake.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
6⃣. ZINAA HULETA MUUNGANIKO WA NAFSI ( SOUL TIE ).
Mwanangu tambua kuwa tendo la zinaa ni AGANO; hivyo huwaunganisha nafsi- yaani akili, nia, hisia, utashi, fikra, dhana na ufahamu ) za watu wawili na kuwa mwili mmoja. Hiki huwa ni kifungo kibaya sana na kimetesa na kinaendelea kuwatesa watu wengi sana; na wengi wao hawajui cha kufanya kwani watumia akili na nguvu zao kkujinasua imeshindikana kabisa.
♻habari njema kwako inawezekana kabisa kufunguliwa kutoka kwenye kifungo hicho cha muunganiko wa nafsi.๐ธ
๐คNdiyo maana sasa unaweza kukuta mtu ameokoka lakini kabla ya kuokoka alikuwa na mpenzi wake waliokuwa wakifanya naye zinaa, utashangaa wengine hushindwa kuachana na huwa wana endelea na maisha yao ya uzinifu na kanisani anaingia. Hii huwa ni kwa sababu hajafunguliwa kifungo cha muunganiko wa nafsi.
❇KUMBUKA; agano siyo mkataba. Agano huwa halivunjwi , gharama ya kuvunja agano ni kifo. Ndiyo maana sasa Yesu anajiita yeye ni mjumbe wa agano lililo bora.
Na agano linasomba vizazi na vizazi.
1Kor. 6:16
✍Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, wale wawili watakuwa mwili mmoja.
๐คUSHAURI:
Usiendelee na Mahusiano mapya kabla ya kuvunja maagano ya muunganiko wa nafsi, bila kufanya hiyo utakuja kuyatesa maisha yako ya Mahusiano na hata kama utaolewa au kuoa itatesa ndoa yako.
๐ธKwa maelezo , ushauri na maombezi kutoka kwenye kifungo hicho tuwasiliane.
๐น☘๐น☘๐น☘๐น
7⃣ ZINAA HUKIINGIZA KIZAZI CHAKO KWENYE VIFUNGO.
๐คLeo hii kuna watu wengi wanapata mateso amalbayo kimsingi wao siyo wahusika kabisa kwa maana ya kusababisha Bali wamesababishiwa na kujikuta wako kwenye mazingira magumu na hawajui wanayokaje.
๐ธHii yote ni kwa sababu ya misingi iliyowabeba ilikuwa mibovu .
✍Maombolezo 5:7 Baba zetu walitenda dhambi hata hawako, Na sisi tumeyachukua maovu yako.
✍ Zaburi 61:5; Saudi anasema, Tazama , mimi naliumbwa katika hali ya uovu; mama yangu alinichukua mimba hatiyani.
♻Utakuja kugundua anguko la Ufalme Daudi na mke wa Uria 2Sam.11:1-5; 12:9-14 ili kuwa ni sababu ya misingi mibovu ya bibi yake RAHABU yule kahaba, Mathayo 1:1-17
๐ค Daudi alitafuta kujua shida ni nini ndipo anakuja kutambua kuwa misingi yake iliyo mbeba au mlango uliompitisha ni mbovu. Zaburi 51 yote.
NJIA pekee ya kutoka kwenye misingi mibovu ni toba ya kweli na maombi ya utakaso dhidi ya mambo ya siri. Zaburi 19:12
๐๐ป Hii ina umiza sana kuteseka kwa makosa na dhambi na maovu ya watu wengine.
☘ Ukitubu Mungu atakusamehe ila atakisubiri kizazi chako kwa ajili ya malipizi. Utashangaa watoto wanapamabana nahali Fulani bila kujua ni msingi waliupokea kwa wazazi. Bila kupata maarifa haya unakuta MTU unateseka bila kupata msaada.
♻ Lengo kuu la ujumbe huu ili kile kikicho muua baba / mama yako kisikuuwe na wewe.
๐น☘๐น☘
๐น
8⃣ ZINAA HUAMBUKIZA MAGONJWA.
✍Leo hii wapo watu wengi wanalia maana afya zao ni mgogoro kwa sababu ya maambikizi ya magonjwa yatokanayo na kufanya zinaa na mtu mwenye maambukizi .
๐๐ป mfano wa magonjwa haya ni UKIMWI, kaswende, Gonorea, fangasi , n.k
❇ Matokeo ya ya maambuzi haya klyatakanayo na zinaa ni kuua na kuzima ndoto za MTU kabisa.
๐ค Niukweli usiyokanushika kuwa afya ikiharibika hata kama ilikuwa na malengo mazuri kiasi gani utakwama tu kwani utatumia muda mwingi kushughulikia afya yako.
๐๐ป Kumbuka nyuma ya roho ya magonjwa kuna roho ya umasikini na ufukara pamoja na mufirisi.๐ค๐ค
๐คUshauri:
๐ทUsifanye zinaa kwani haina faida yoyote zaidi ya hasara nyingi zisizo na idadi.
๐ทhakuna taji kwa wafanya zinaa zaidi ya adhabu na ghadhabu ya Mungu.
❤☘๐น๐น☘๐น❤
9⃣ ZINAA NI MLANGO WA MAPEPO KWA MTU.
✍Kwa kuwa zinaa ni tendo linalounganisha watu wawili kiakili, kihisia, kiroho na kimwili; basi upo uwezekano mkubwa sana wa mmoja aliye na roho chafu kumwingia mwingine kama vile tu mtu anavyo weza kupata maambukizi mengine ya magonjwa, hata mapepo vivyo hivyo.
☘ Ushauri:
๐Nikuombe sana mwana wa Mungu, ujitunze , umtii Mungu na ujae
moyoni ili usije ukampa nafasi ibilisi.
☘ Jihadhari sana na tamaa ya zinaa ilinusije ukawa Makao ya mapepo na majini na kupelekea kuharibu hatima yako.
๐คKupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.
๐ทAmua Leo chukua hatua za makusudi kuikimbia zinaa.
๐น❤๐น❤☘๐ท๐น☘❤
๐ ZINAA INAUA KIROHO NA KIMWLI.
✍Huu ni ukweli usiyo pingika kuwa zinaa inaweza kusababisha mauti ya kiroho na mwili.
๐คUpo ushahidi wa kibiblia na wa ujuzi katika jamii zetu.
Tazama Mwanzo 18 na 19 kwa habari ya sodoma na Gomora ziliteketezwa kwa moto .
✍kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.๐คท♂๐คท♂๐คท♂
✍ikimbie kabisa zinaa wala isitajwe kwako.
๐น❤๐น❤๐น❤☘๐น❤☘๐น
๐นHaleluya wana wa Mungu mpendwao sana. Leo tuangalie dhara la 11 mwisho katika somo letu la madhara ya kufanya zinaa.
1⃣1⃣ ZINAA INAWEZA KUKUFANYA USIURITHI UFALME WA MUNGU.
๐ธWagalatia 5:19-21
✍ Zinaa itakupelekea kufutwa kwenye ufalme wa Mungu; jambo hili linatisha sana. ๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Ni heri ukose vyote hapa duniani kuliko kuvipita vyote kisha ukaukosa ufalme wa Mungu ambao ndiyo kusudi la sisi kuumbwa na Yesu kuja kufa msalabani kisha kufufuka .
๐บWito kwa wana wa Mungu;
✍Jitunze sana na usafishe kituo chako kiwe kitakatifu ili Mungu asije akaona kitu kisicho safi akageuka na kukuacha.
K/Torati 23:14.
✍ Ni bora kuachwa na mchumba wako kuliko kuachwa na Mungu.
๐ธNikutakie Ushindi mkuu katika Eneo lako la Mahusiano na NDOA.
❤By pastor Songwa Kazi.
☘0757-567899
☘whasap:0719-968160
*** Mwisho***
๐น๐น๐น
๐น๐น๐น
Friday, 5 April 2019
๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ❤๐ฆ๐ฆ๐ฆ❤๐ฆ❤❤
TABIA AU SIFA AU VIASHIRIA VYA KIJANA ALIYEMPENDA BINTI LAKINI ANAOGOPA KUMWAMBIA.๐๐๐๐
Zifuatazo ni baadhi tu ya viashiria:
1. Anakuwa na wasiwasi mwingi anapokuwa na wewe. ๐๐๐ Anakosa utulivu.
2. Anapenda kuuwaulizia rafiki zako kukuhusu. ๐๐๐
3. Anakuwa na tabia isiyoeleweka akikuona. ๐๐ Haeleweki kabisa kama kuku anayetaga.
4. Anapenda kutabasamu na wewe huku akiangalia kando pale macho yakutanapo.๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐๐๐๐๐๐
5. Anakuwa mkimya pale unapokuwa naye.๐๐๐๐๐๐
6. Anabadirisha mwonekano wake kila kukicha. Mfano nywele_ mnyoo; nguo; n.k
7. Anagugumiza kuongea akiwa na wewe๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Anaongea kama anakupenda cha nyama mdomoni ๐๐
8. Anakujali zaidi ya wengine.๐๐
Yupo tayari kutembea kwa miguu wewe upande gari.๐๐๐
9.Mtoaji mzuri wa zawadi na vijizawadizawadi mbali mbali.๐๐ ๐ ๐ ๐
10.Huongea kwa mafumbo yaani mambo yasiyokuwa wazi sana.๐๐๐
๐ฆ Nyingine nyingi zinazofanana na hizo.๐๐
By pastor Songwa Kazi
0719968160.
TABIA AU SIFA AU VIASHIRIA VYA KIJANA ALIYEMPENDA BINTI LAKINI ANAOGOPA KUMWAMBIA.๐๐๐๐
Zifuatazo ni baadhi tu ya viashiria:
1. Anakuwa na wasiwasi mwingi anapokuwa na wewe. ๐๐๐ Anakosa utulivu.
2. Anapenda kuuwaulizia rafiki zako kukuhusu. ๐๐๐
3. Anakuwa na tabia isiyoeleweka akikuona. ๐๐ Haeleweki kabisa kama kuku anayetaga.
4. Anapenda kutabasamu na wewe huku akiangalia kando pale macho yakutanapo.๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐๐๐๐๐๐
5. Anakuwa mkimya pale unapokuwa naye.๐๐๐๐๐๐
6. Anabadirisha mwonekano wake kila kukicha. Mfano nywele_ mnyoo; nguo; n.k
7. Anagugumiza kuongea akiwa na wewe๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Anaongea kama anakupenda cha nyama mdomoni ๐๐
8. Anakujali zaidi ya wengine.๐๐
Yupo tayari kutembea kwa miguu wewe upande gari.๐๐๐
9.Mtoaji mzuri wa zawadi na vijizawadizawadi mbali mbali.๐๐ ๐ ๐ ๐
10.Huongea kwa mafumbo yaani mambo yasiyokuwa wazi sana.๐๐๐
๐ฆ Nyingine nyingi zinazofanana na hizo.๐๐
By pastor Songwa Kazi
0719968160.
Thursday, 4 April 2019
♻ *SOMO*: *_KANUNI ZA KUENDESHA UCHUMBA_*
BY PASTOR SONGWA KAZI
WhatsApp 0719968160.
⏹Fuatana nami kwa utulivu sana juu ya mada au Somo zuri hili.
๐ *Utangulizi:*
✍๐ปYawezekana kabisa wewe na mwenzako-yaani mchumba wako , mnaweza kuwa na sifa nyingi kama wachumba.
Huenda mkijitazama na hata watu wengine wakiwaona, hakuna anayetilia mashaka kwamba mnasifa na mnaonekana tayari kwa ndoa.
Lakini kama dereva yeyote aliye na sifa anavyopaswa kuzingatia sheria, vigezo na taratibu zote za udereva, mnapaswa kuzingatia kanuni za uendeshaji uchumba.
Zipo kanuni nyingi, lakini nimeziteua kanuni hizi chache naziona zimebeba uzito usiopungua busara, hekima na maarifa ya kiungu.
✝KANUNI; ni njia au ule utaratibu wa kufanya jambo fulani ili likupe matokeo chanya.
*Kumbuka*: Kanuni haidanganyi , yeyote anayeitumia itampa matokeo yaleyale.
๐♂Ukipindua Kanuni inakuadhibu.
♻UCHUMBA NI KIVULI CHA NDOA♻
Kile mtakifanya kwenye uchumba ndicho mtakacho kiishi kwenye ndoa.
๐ค๐ค๐ค
Hebu tuziangalie kanuni hizi kwa hatua:
1⃣ *_MRUHUSINI MUNGU AWE MJENZI WA MKUU WA UCHUMBA WENU._*
(Zaburi 127:1)
✝Psalms 127:1
[1](A Song of degrees for Solomon.) Except the LORD build the house, they labour in vain that build it: except the LORD keep the city, the watchman waketh but in vain.
*BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure.* BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure.
๐๐Hii ni kwa sababu mke au mume sahihi anatoka kwa Bwana.
*Mithali 19:14*
2⃣ *_MSHIRIKISHE KWANZA MCHUNGAJI WAKO KABLA YA WATU WENGINE_*
(Waefeso 6:1-3)
✝Ephesians 6:1
[1]Children, obey your parents in the Lord: for this is right.
*Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.*
✝ (Wagalatia 6:6)
✍๐ปGalatians 6:6
[6]Let him that is taught in the word communicate unto him that teacheth in all good things.
*Mwanafunzi na amshirikishe mkufunzi wake katika mema yote.*
๐๐Uchumba wenu ukipata baraka za mchungaji wako sasa upo huru kupiga hatua ya tatu.
3⃣ *WASHIRIKISHE WAZAZI AU WALEZI WAKO*
( Waefeso 6:2-3)
✝Ephesians 6:2-3
[2]Honour thy father and mother; (which is the first commandment with promise;)
*Waheshimu baba yako na mama yako; amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,*
[3]That it may be well with thee, and thou mayest live long on the earth.
Upate heri, ukae siku nyingi katika dunia.
4⃣ *_WEKENI UCHUMBA WENU WAZI MBELE ZA WATU WANAOWAPENDA_*
( Mwanzo 4:9)
✝Genesis 4:9
[9]And the LORD said unto Cain, Where is Abel thy brother? And he said, I know not: Am I my brother's keeper?
*BWANA akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?*
✍๐ปTambua wazi kuwa watu wanaowapenda ni walinzi wakuaminika kwa ndoto zenu na rafiki zenu.
Kumbuka: *Uchumba siyo siri*
❤Msiwaweke mbali nanyi watu wanaowatakia mema maishani mwenu❤ maana hao ni walinzi wenu wa kuwa angalia ( waangalizi) msiwafiche jambo kabisa.
๐คWanaweza kuwasaidia kuyaona mambo msiyoyaona.
5⃣ *_JICHANGANYENI NA JAMII KATIKA SHUGHULI ZA JAMII_*
( Mwanzo 24:19-21)
✝Genesis 24:19-21
[19]And when she had done giving him drink, she said, I will draw water for thy camels also, until they have done drinking.
*Hata alipokwisha kumnywesha akasema, Na ngamia zako nitawatekea, hata watakapokwisha kunywa.*
[20]And she hasted, and emptied her pitcher into the trough, and ran again unto the well to draw water, and drew for all his camels.
Akafanya haraka, akamwaga maji ya mtungi wake katika birika, akapiga mbio kisimani ateke, akawatekea ngamia zake wote.
[21]And the man wondering at her held his peace, to wit whether the LORD had made his journey prosperous or not.
*Basi yule mtu akamkazia macho, akanyamaza, ili ajue kwamba BWANA ameifanikisha safari yake ama sivyo.*
✍๐ปUsijitenge na kuwa kivyakovyako utapata taabu sana.
Hakikisha unashiriki katika shughuli za jamii kama vile sherehe, misiba, michango ya maendeleo , ushuhudiaji, michezo na utumishi mbalimbali n.k.
*Kumbuka;* unapowatumikia wengine, unajianika -yaani unajitambulisha ulivyo. Rebeka hakujua kuwa alikuwa anajianika au kujitangaza kwa mshenga wake kwa kuwanywesha wale ngamia.
♻ *Utapata fursa ya kumjua mchumba wako vizuri kupitia kutumika*
6⃣ *_LINDENI MAJINA YENU YASIINGIE MADOA_*
( Mithali 22:1
Proverbs 22:1
[1]A good name is rather to be chosen than great riches, and loving favour rather than silver and gold.
*Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi; Na neema*
*fedha na dhahabu.*
๐คWekeni mipaka kati yenu, msijiachie kama mizigo ya kununi.
๐คKuna chumba kingine ni kero utadhani MTU na mke wake wa ndoa mpaka kichwa kinauma, sokoni wote, kisimani/bombani wote, chooni wote, chumbani wote, wanafuatana kama kumbikumbi.
♻Presha ya nini ๐คท♂๐คท♂๐คท♂ tulizana mfunge ndoa. Maana mwisho wake wengi huishia kufanya zinaa. Tafadhali sana wekeni mipaka.
7⃣ _*MSIWASHE MOTO WA MAPENZI MSIO WEZA KUUZIMA*_
( Wimbo uliobora 2:7)
✝Song of Solomon 2:7
[7]I charge you, O ye daughters of Jerusalem, by the roes, and by the hinds of the field, that ye stir not up, nor awake my love, till he please.
*Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe.*
๐ค๐คWekeni mbali mazungumzo mabaya ya kimapenzi-mahaba, msifanye michezo ya kimapenzi kama kutomasana, kupigana mabusu na kunyonyana chuchu, ndini na kushikana shikana , picha za ngono, kufanya hivyo ni sawa tu umefanya zinaa,
kwani biblia inasema amtazamae mwanamke kwa kumtamani tayari amekwisha zini naye moyoni wake sembuse michezo ya kimapenzi. Acha Mara moja ni hatari kubwa.
*Tubu anza upya.*
8⃣ *_FUNGUKENI MIOYO NA ONGEENI KWA UWAZI BILA KUFICHANA_*
( Mithali 17:28)
( Waefeso 4:25)
✝ Proverbs 17:28
[28]Even a fool, when he holdeth his peace, is counted wise: and he that shutteth his lips is esteemed a man of understanding.
*Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.*
๐๐ *Ongea ili mwenzako apime kiwango cha upambavu wako*
✝Ephesians 4:25
[25]Wherefore putting away lying, speak every man truth with his neighbour: for we are members one of another.
*Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake.*
๐๐Kadri mnavyoongea ndiyo unapojua kiwango cha uongozi na ukweli wa mchumba wako.
♻ *kuweni wazi*
9⃣ *_MALIZENI TOFAUTI ZENU KISTAARABU MARA ZITOKEAPO_*
( Waefeso 4:26)
✝Ephesians 4:26
[26]Be ye angry, and sin not: let not the sun go down upon your wrath:
*Mwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka;*
๐Kumbuka , mchumba siyo Yesu kwamba yupo kamili ,IPO siku mtavurugana , na kuchefuana kabisa. Kipindi kama hicho tafuteni NJIA ya kutatua maisha yaendelee mbele.
๐ *_CHAGUENI WANANDOA WALIOWATUNGULIA WATAKAO LEA UCHUMBA WENU_MLIO HURU KWAO_*
( MENTOR)
( Mithali 11:14)
✝Proverbs 11:14
[14]Where no counsel is, the people fall: but in the multitude of counsellors there is safety.
*Pasipo mashauri taifa huanguka; Bali kwa wingi wa washauri huja wokovu.*
♻Hakuna haja ya kubahatisha pakukanyaga kama wapo watu waliowatangulia .
Ushauri: someni Vitabu, silikizeni CD na DVD na huzulieni semina na makongamano ya MAHUSIANO na ndoa ili kuongeza ujuzi na maarifa.
1⃣1⃣ *_KILA MMOJA AJIFUNZE KUONGEA LUGHA YA UPENDO YA MWENZAKE_*
( Yohana 13:34, Wagalatia 6:2)
✝John 13:34
[34]A new commandment I give unto you, That ye love one another; as I have loved you, that ye also love one another.
*Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo.*
✝✝✝
Galatians 6:2
[2]Bear ye one another's burdens, and so fulfil the law of Christ.
*Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo.*
❤❤Siyo rahisi kuongea lugha moja , muulize anapenda nini.
*Aina ya lugha*
⏹ Lugha ya maneno ya kujali.
⏹Lugha ya kupeana Zawadi.
⏹ Lugha ya kusaidiana.
⏹Lugha ya kutumia muda mwafaka pamoja.
⏹Lugha ya mguso wa Upendo.
1⃣2⃣ *_INGIA KATIKA UHUSIANO WA UCHUMBA KAMA UPO TAYARI KWA NDOA_*
( Mhubiri 3:1)
✝Ecclesiastes 3:1
[1]To every thing there is a season, and a time to every purpose under the heaven:
*Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.*
๐Kama huna mpango na ndoa acha kabisa Fanya unachofanya wakati ukifika utachoka mwenyewe.
( Wimbo bora 3:5)
✝Song of Solomon 3:5
[5]I charge you, O ye daughters of Jerusalem, by the roes, and by the hinds of the field, that ye stir not up, nor awake my love, till he please.
*Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe. Bwana Arusi na Kundi lake Wakaribia*
♻ *HITIMISHO*
✍๐ปAngalizo:
Kuingia katika MAHUSIANO na mtu yeyote kwa sababu amekuvutia kimwili lakini huoni anafaa katika maagano ya milele ya ndoa si Salama kabisa.
๐ค๐ค *usicheze na mkondo wa mapenzi unaopita kwa kasi ; utajitambua baada ya kunywa maji*๐
Ubarikiwe Sana kwa kusoma Somo hili la Kanuni 12 za KUENDESHA UCHUMBA.
By Pastor SONGWA KAZI
MWL na Mshauri wa maswala ya MAHUSIANO.
Simu : 0757-567-899
BY PASTOR SONGWA KAZI
WhatsApp 0719968160.
⏹Fuatana nami kwa utulivu sana juu ya mada au Somo zuri hili.
๐ *Utangulizi:*
✍๐ปYawezekana kabisa wewe na mwenzako-yaani mchumba wako , mnaweza kuwa na sifa nyingi kama wachumba.
Huenda mkijitazama na hata watu wengine wakiwaona, hakuna anayetilia mashaka kwamba mnasifa na mnaonekana tayari kwa ndoa.
Lakini kama dereva yeyote aliye na sifa anavyopaswa kuzingatia sheria, vigezo na taratibu zote za udereva, mnapaswa kuzingatia kanuni za uendeshaji uchumba.
Zipo kanuni nyingi, lakini nimeziteua kanuni hizi chache naziona zimebeba uzito usiopungua busara, hekima na maarifa ya kiungu.
✝KANUNI; ni njia au ule utaratibu wa kufanya jambo fulani ili likupe matokeo chanya.
*Kumbuka*: Kanuni haidanganyi , yeyote anayeitumia itampa matokeo yaleyale.
๐♂Ukipindua Kanuni inakuadhibu.
♻UCHUMBA NI KIVULI CHA NDOA♻
Kile mtakifanya kwenye uchumba ndicho mtakacho kiishi kwenye ndoa.
๐ค๐ค๐ค
Hebu tuziangalie kanuni hizi kwa hatua:
1⃣ *_MRUHUSINI MUNGU AWE MJENZI WA MKUU WA UCHUMBA WENU._*
(Zaburi 127:1)
✝Psalms 127:1
[1](A Song of degrees for Solomon.) Except the LORD build the house, they labour in vain that build it: except the LORD keep the city, the watchman waketh but in vain.
*BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure.* BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure.
๐๐Hii ni kwa sababu mke au mume sahihi anatoka kwa Bwana.
*Mithali 19:14*
2⃣ *_MSHIRIKISHE KWANZA MCHUNGAJI WAKO KABLA YA WATU WENGINE_*
(Waefeso 6:1-3)
✝Ephesians 6:1
[1]Children, obey your parents in the Lord: for this is right.
*Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.*
✝ (Wagalatia 6:6)
✍๐ปGalatians 6:6
[6]Let him that is taught in the word communicate unto him that teacheth in all good things.
*Mwanafunzi na amshirikishe mkufunzi wake katika mema yote.*
๐๐Uchumba wenu ukipata baraka za mchungaji wako sasa upo huru kupiga hatua ya tatu.
3⃣ *WASHIRIKISHE WAZAZI AU WALEZI WAKO*
( Waefeso 6:2-3)
✝Ephesians 6:2-3
[2]Honour thy father and mother; (which is the first commandment with promise;)
*Waheshimu baba yako na mama yako; amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,*
[3]That it may be well with thee, and thou mayest live long on the earth.
Upate heri, ukae siku nyingi katika dunia.
4⃣ *_WEKENI UCHUMBA WENU WAZI MBELE ZA WATU WANAOWAPENDA_*
( Mwanzo 4:9)
✝Genesis 4:9
[9]And the LORD said unto Cain, Where is Abel thy brother? And he said, I know not: Am I my brother's keeper?
*BWANA akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?*
✍๐ปTambua wazi kuwa watu wanaowapenda ni walinzi wakuaminika kwa ndoto zenu na rafiki zenu.
Kumbuka: *Uchumba siyo siri*
❤Msiwaweke mbali nanyi watu wanaowatakia mema maishani mwenu❤ maana hao ni walinzi wenu wa kuwa angalia ( waangalizi) msiwafiche jambo kabisa.
๐คWanaweza kuwasaidia kuyaona mambo msiyoyaona.
5⃣ *_JICHANGANYENI NA JAMII KATIKA SHUGHULI ZA JAMII_*
( Mwanzo 24:19-21)
✝Genesis 24:19-21
[19]And when she had done giving him drink, she said, I will draw water for thy camels also, until they have done drinking.
*Hata alipokwisha kumnywesha akasema, Na ngamia zako nitawatekea, hata watakapokwisha kunywa.*
[20]And she hasted, and emptied her pitcher into the trough, and ran again unto the well to draw water, and drew for all his camels.
Akafanya haraka, akamwaga maji ya mtungi wake katika birika, akapiga mbio kisimani ateke, akawatekea ngamia zake wote.
[21]And the man wondering at her held his peace, to wit whether the LORD had made his journey prosperous or not.
*Basi yule mtu akamkazia macho, akanyamaza, ili ajue kwamba BWANA ameifanikisha safari yake ama sivyo.*
✍๐ปUsijitenge na kuwa kivyakovyako utapata taabu sana.
Hakikisha unashiriki katika shughuli za jamii kama vile sherehe, misiba, michango ya maendeleo , ushuhudiaji, michezo na utumishi mbalimbali n.k.
*Kumbuka;* unapowatumikia wengine, unajianika -yaani unajitambulisha ulivyo. Rebeka hakujua kuwa alikuwa anajianika au kujitangaza kwa mshenga wake kwa kuwanywesha wale ngamia.
♻ *Utapata fursa ya kumjua mchumba wako vizuri kupitia kutumika*
6⃣ *_LINDENI MAJINA YENU YASIINGIE MADOA_*
( Mithali 22:1
Proverbs 22:1
[1]A good name is rather to be chosen than great riches, and loving favour rather than silver and gold.
*Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi; Na neema*
*fedha na dhahabu.*
๐คWekeni mipaka kati yenu, msijiachie kama mizigo ya kununi.
๐คKuna chumba kingine ni kero utadhani MTU na mke wake wa ndoa mpaka kichwa kinauma, sokoni wote, kisimani/bombani wote, chooni wote, chumbani wote, wanafuatana kama kumbikumbi.
♻Presha ya nini ๐คท♂๐คท♂๐คท♂ tulizana mfunge ndoa. Maana mwisho wake wengi huishia kufanya zinaa. Tafadhali sana wekeni mipaka.
7⃣ _*MSIWASHE MOTO WA MAPENZI MSIO WEZA KUUZIMA*_
( Wimbo uliobora 2:7)
✝Song of Solomon 2:7
[7]I charge you, O ye daughters of Jerusalem, by the roes, and by the hinds of the field, that ye stir not up, nor awake my love, till he please.
*Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe.*
๐ค๐คWekeni mbali mazungumzo mabaya ya kimapenzi-mahaba, msifanye michezo ya kimapenzi kama kutomasana, kupigana mabusu na kunyonyana chuchu, ndini na kushikana shikana , picha za ngono, kufanya hivyo ni sawa tu umefanya zinaa,
kwani biblia inasema amtazamae mwanamke kwa kumtamani tayari amekwisha zini naye moyoni wake sembuse michezo ya kimapenzi. Acha Mara moja ni hatari kubwa.
*Tubu anza upya.*
8⃣ *_FUNGUKENI MIOYO NA ONGEENI KWA UWAZI BILA KUFICHANA_*
( Mithali 17:28)
( Waefeso 4:25)
✝ Proverbs 17:28
[28]Even a fool, when he holdeth his peace, is counted wise: and he that shutteth his lips is esteemed a man of understanding.
*Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.*
๐๐ *Ongea ili mwenzako apime kiwango cha upambavu wako*
✝Ephesians 4:25
[25]Wherefore putting away lying, speak every man truth with his neighbour: for we are members one of another.
*Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake.*
๐๐Kadri mnavyoongea ndiyo unapojua kiwango cha uongozi na ukweli wa mchumba wako.
♻ *kuweni wazi*
9⃣ *_MALIZENI TOFAUTI ZENU KISTAARABU MARA ZITOKEAPO_*
( Waefeso 4:26)
✝Ephesians 4:26
[26]Be ye angry, and sin not: let not the sun go down upon your wrath:
*Mwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka;*
๐Kumbuka , mchumba siyo Yesu kwamba yupo kamili ,IPO siku mtavurugana , na kuchefuana kabisa. Kipindi kama hicho tafuteni NJIA ya kutatua maisha yaendelee mbele.
๐ *_CHAGUENI WANANDOA WALIOWATUNGULIA WATAKAO LEA UCHUMBA WENU_MLIO HURU KWAO_*
( MENTOR)
( Mithali 11:14)
✝Proverbs 11:14
[14]Where no counsel is, the people fall: but in the multitude of counsellors there is safety.
*Pasipo mashauri taifa huanguka; Bali kwa wingi wa washauri huja wokovu.*
♻Hakuna haja ya kubahatisha pakukanyaga kama wapo watu waliowatangulia .
Ushauri: someni Vitabu, silikizeni CD na DVD na huzulieni semina na makongamano ya MAHUSIANO na ndoa ili kuongeza ujuzi na maarifa.
1⃣1⃣ *_KILA MMOJA AJIFUNZE KUONGEA LUGHA YA UPENDO YA MWENZAKE_*
( Yohana 13:34, Wagalatia 6:2)
✝John 13:34
[34]A new commandment I give unto you, That ye love one another; as I have loved you, that ye also love one another.
*Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo.*
✝✝✝
Galatians 6:2
[2]Bear ye one another's burdens, and so fulfil the law of Christ.
*Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo.*
❤❤Siyo rahisi kuongea lugha moja , muulize anapenda nini.
*Aina ya lugha*
⏹ Lugha ya maneno ya kujali.
⏹Lugha ya kupeana Zawadi.
⏹ Lugha ya kusaidiana.
⏹Lugha ya kutumia muda mwafaka pamoja.
⏹Lugha ya mguso wa Upendo.
1⃣2⃣ *_INGIA KATIKA UHUSIANO WA UCHUMBA KAMA UPO TAYARI KWA NDOA_*
( Mhubiri 3:1)
✝Ecclesiastes 3:1
[1]To every thing there is a season, and a time to every purpose under the heaven:
*Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.*
๐Kama huna mpango na ndoa acha kabisa Fanya unachofanya wakati ukifika utachoka mwenyewe.
( Wimbo bora 3:5)
✝Song of Solomon 3:5
[5]I charge you, O ye daughters of Jerusalem, by the roes, and by the hinds of the field, that ye stir not up, nor awake my love, till he please.
*Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe. Bwana Arusi na Kundi lake Wakaribia*
♻ *HITIMISHO*
✍๐ปAngalizo:
Kuingia katika MAHUSIANO na mtu yeyote kwa sababu amekuvutia kimwili lakini huoni anafaa katika maagano ya milele ya ndoa si Salama kabisa.
๐ค๐ค *usicheze na mkondo wa mapenzi unaopita kwa kasi ; utajitambua baada ya kunywa maji*๐
Ubarikiwe Sana kwa kusoma Somo hili la Kanuni 12 za KUENDESHA UCHUMBA.
By Pastor SONGWA KAZI
MWL na Mshauri wa maswala ya MAHUSIANO.
Simu : 0757-567-899
Subscribe to:
Posts (Atom)